johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,878
- 141,811
Kwa mabadiliko na harakati zinazoendelea CCM tangia Magufuli atwaliwe na Mungu wa mbinguni utagundua kulikuwa hakuna sababu ya kumkata Lowassa mwaka ule wa 2015.
Na, inawezekana kabisa kuwa madai ya Chadema kwamba KURA za Lowassa Tanzania na maalimu Seif Zanzibar " zilitosha" yana kaukweli kwa mbali.
Ni dhahiri kabisa kwa sasa team Lowassa wanarejea kwa kasi na Team Mwendazake " ndio basi tena " labda wakabishe hodi Ufipa maana wengi walitokea huko hata Msukuma na Gwajima.
Jumaa kareem.
Leo ni Njia ya Msalaba!
Na, inawezekana kabisa kuwa madai ya Chadema kwamba KURA za Lowassa Tanzania na maalimu Seif Zanzibar " zilitosha" yana kaukweli kwa mbali.
Ni dhahiri kabisa kwa sasa team Lowassa wanarejea kwa kasi na Team Mwendazake " ndio basi tena " labda wakabishe hodi Ufipa maana wengi walitokea huko hata Msukuma na Gwajima.
Jumaa kareem.
Leo ni Njia ya Msalaba!