johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,754
- 141,616
CCM katika uchaguzi wa 2015 walishughulika zaidi na mzee Lowassa kuliko Chadema hata hivyo Lowassa aliwaingizia bungeni Wapinzani ( UKAWA) zaidi ya Wabunge 100 ambayo ni rekodi hadi leo
2020 Tundu Lisu aliingiza Mbunge mmoja tu na wale covid 19
Lowassa alisema Chadema isiposhinda Urais 2015 itawabidi wasubiri zaidi ya miaka 50 kujaribisha tena
Tunakumbushana tu
Jumaa kareem!
2020 Tundu Lisu aliingiza Mbunge mmoja tu na wale covid 19
Lowassa alisema Chadema isiposhinda Urais 2015 itawabidi wasubiri zaidi ya miaka 50 kujaribisha tena
Tunakumbushana tu
Jumaa kareem!