Nashindwa kuelewa alimanisha nini

Nashindwa kuelewa alimanisha nini

huyo mtoto si wa huyo jamaa kama mama wa mtoto alivyosema kwenda kupima DNA zitakuwa mbwebwe za kuhakikisha mwisho wa siku kupandishana pressure.
 
Mwalimu mwenyewe Burito hakuwa baba yake na bado akaitwa Nyerere. Mzee Burito akamezea tu mate. Naye, akiweza amezee asipoweza awachapishe lapa na mama yao.
 
Mwanamke alilia sana na mpaka sasa anajutia kosa hilo ila bado mwenziye analo
 
Litakuwa lilimponyoka tu mama wa watu...watoto sio wa kwako wanaume wanajua hili neno linavyokera
 
Wapenzi wa jamii forum nakumbuka mwaka juzi rafiki yangu alinishirikisha ugomvi wake na mkewe walibahatika kupata watoto wawili aliponiambia amegombana na mkewe na baada ya ugomvi ule mkewe akamwambia watoto hawa kwanza si wako mkewe huyo aliyasema maneno hayo akiwa na hasira kali .na kwa kifupi watoto hao wamefanana sana na mama yao rangi na sura sasa mimi nilimpa moyo rafiki yangu huyo


Ila leo kaniuliza tena unakumbuka lile jambo aliloniambia shemeji yako mwaka juzi bado unaniambia nini kuhusu lile neno .mwanamke kaomba msamaha kwa machozi na kugaragara ila jamaa akamwambia sawa lakini bado analo moyoni

NIKAONA NIWASHIRIKISHE NANYI JE NI JAMBO LA KAWAIDA KWELI NA JE KUNA ALIYEKWISHA KUTWA NALO KUAMBIWA HIVYO
A person is more honest when angry.
 
Pay attention on words that someone is saying when is angry. 90% of them they are what she/he says they are.
 
Niliwahi kushauri wakati Fulani humu kuwa " ukiwa na hasira usiongee na ukifurahi sana usiahidi" sasa mmeyaona?
 
Back
Top Bottom