UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,017
Wapenzi wa jamii forum nakumbuka mwaka juzi rafiki yangu alinishirikisha ugomvi wake na mkewe walibahatika kupata watoto wawili aliponiambia amegombana na mkewe na baada ya ugomvi ule mkewe akamwambia watoto hawa kwanza si wako mkewe huyo aliyasema maneno hayo akiwa na hasira kali .na kwa kifupi watoto hao wamefanana sana na mama yao rangi na sura sasa mimi nilimpa moyo rafiki yangu huyo
Ila leo kaniuliza tena unakumbuka lile jambo aliloniambia shemeji yako mwaka juzi bado unaniambia nini kuhusu lile neno .mwanamke kaomba msamaha kwa machozi na kugaragara ila jamaa akamwambia sawa lakini bado analo moyoni
NIKAONA NIWASHIRIKISHE NANYI JE NI JAMBO LA KAWAIDA KWELI NA JE KUNA ALIYEKWISHA KUTWA NALO KUAMBIWA HIVYO
Ila leo kaniuliza tena unakumbuka lile jambo aliloniambia shemeji yako mwaka juzi bado unaniambia nini kuhusu lile neno .mwanamke kaomba msamaha kwa machozi na kugaragara ila jamaa akamwambia sawa lakini bado analo moyoni
NIKAONA NIWASHIRIKISHE NANYI JE NI JAMBO LA KAWAIDA KWELI NA JE KUNA ALIYEKWISHA KUTWA NALO KUAMBIWA HIVYO