Katka profile yangu nimeandikiwa NOT SELECTED... Na katka machaguo manne kati ya matano niliyoomba nimeambiwa NOT ELIGIBLE...ila chaguo moja ndo nmeandikiwa ELIGIBLE niwait for selection....sasa nashindwa kuelewa niwait for selection wakat wamenambia not selected!!!! Msaada wadau jaman niwait au nifanye tena machaguo mapya???