Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,583
- 4,264
- Thread starter
- #21
Hoja zoote hapo zinaonesha hujaelewa mada inayo jadiliwa; ingekuwa ni mtihani yaani ulisha pata Zero; Pole!Muwe na jukwaa lenu kama hamtaki michango yetu.
Mkiwa na jukwaa lenu itatusaidia kujua wakaka wazuri wazuri walio single.
Tofauti na hapo msituchoshe maana hata padre hajaoa ila anafungisha ndoa.
Mkija hospital tunawatibu hata kama mko kwenye ndoa zenu
Mkija mahakamani tunatatua migogoro yenu ya ndoa.
Mkija kanisani tunawaombea wote.bila kujali ndoa zenu.
In short sisi ambao bado, hatukwepeki, some times bila sisi nyinyi mnapwaya.😂😂😂😂