Nashauri Sumatra wamulike misemo kwenye bajaji na dalala

Nashauri Sumatra wamulike misemo kwenye bajaji na dalala

Hii nimeiona kwenye semi- trailler " UKICHOKA KUTUNZA SIRI, KUBALI KUFUMANIWA YAISHE"
 
Badala ya kushauri njia bora ya kupunguza ajali za pikipiki wewe unashauri SUMATRA washughulike na umbea wa kwenye pikipiki na bajaji.
 
Hiyo misemo yao huwa inatupunguzia sana stress, mimi binafsi naipenda mno ,
"Matako ya sufiria hayaogopi moto"
 
"Kabadilishe uje" imenibamba kinoma na nishaiweka kama Status yangu whatsapp
 
Ila wakifuatilia hizi jumbe kwenye magari basi wafuatilie na vituo maana kuna kituo juzikati nilipanda gari, kuna jamaa akaomba ashushwe, jina la kituo ndio shida, pembeni kuna makaburi eti wanaita "mwisho wa nyodo"
 
Back
Top Bottom