Siku moja nilikuwa barabaran likanipita fusso limeandikwa" MWISHO WA USHAROBARO MAJUKUMU"
Nilicheka sana maana nilikumbuka maisha nikiwa sijaoa halafu pamoja na nashughuli zangu baba alikuwa anadiliki kuniongezea pesa pia.
Nilikuwa nafanya starehe nitakavyo hata geto nilikuwa silali yaan nilikuwa nabadili gest tu. Lakn ikafika wakat wake ambao hata kuichenji elf 10 ikawa shida. Sasa hivi mademu Nawapita kama siwaoni hata kuwatamani hakupo tena.
Naweza kuwataman mpaka niangalie kama kuna hela ambayo ipo ipo tu nayo wakat mwingne naona bora nikatandike bia tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.