Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,018
- 26,330
Na naomba katiba mpya iwe ajenda kuu katika hio tume
Ni takwa letu sisi wananchi ,Ni takwa la wakati wa Sasa
Sio hisana ya rais na CCM yake
TUNATAKA KATIBA MPYA Otherwise tutaelendela kumnamga mwendazake kwa uovu alitufanyia na wote walioshirikiana nae
Ni takwa letu sisi wananchi ,Ni takwa la wakati wa Sasa
Sio hisana ya rais na CCM yake
TUNATAKA KATIBA MPYA Otherwise tutaelendela kumnamga mwendazake kwa uovu alitufanyia na wote walioshirikiana nae