Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,486
- 86,002
Kwa trend inayoendelea sasa, kimya kimya, wazi wazi na pengine kwa sauti zaidi kila kona ya nchi ni dhahiri kuwa kuna watu wana maumivu na vidonda vikubwa sana vilivyotokana na utawala wa Magufuli.
Ni ngumu kusahau Mara moja ila ili kuleta umoja wa Kitaifa NASHAURI iundwe tume au Kamati ya Usuluhishi na Upatanisho kama Taifa.
Tuanze upya kama Taiga, tuanze upya kama ndugu na zaidi tusahau tulipojikwaa, tuangalie mbele zaidi.
Watuhumiwa wanaoweza kuitwa na hata kukutanishwa na familia za Waathirika, waombe msamaha tufungue ukurasa mpya.
Siasa za visasi ni mbaya sana, Rais ajitahidi kufuta hiki kitu, kama tutalazimika hata kurudi tena kwenye uchaguzi Mkuu basi na ikawe hivyo. Tutachangia uchaguzi kama Burundi walivyofanya.
Ni muhimu as a Nation kufanya damage control maana ni wazi kabisa UTAWALA ule ulituumiza, hatuhitaji kubaki hapo kwenye kuumizwa BALI tunahitaji kuendelea na safari tukiwa pamoja.
Mungu Ibariki Tanzania
Ni ngumu kusahau Mara moja ila ili kuleta umoja wa Kitaifa NASHAURI iundwe tume au Kamati ya Usuluhishi na Upatanisho kama Taifa.
Tuanze upya kama Taiga, tuanze upya kama ndugu na zaidi tusahau tulipojikwaa, tuangalie mbele zaidi.
Watuhumiwa wanaoweza kuitwa na hata kukutanishwa na familia za Waathirika, waombe msamaha tufungue ukurasa mpya.
Siasa za visasi ni mbaya sana, Rais ajitahidi kufuta hiki kitu, kama tutalazimika hata kurudi tena kwenye uchaguzi Mkuu basi na ikawe hivyo. Tutachangia uchaguzi kama Burundi walivyofanya.
Ni muhimu as a Nation kufanya damage control maana ni wazi kabisa UTAWALA ule ulituumiza, hatuhitaji kubaki hapo kwenye kuumizwa BALI tunahitaji kuendelea na safari tukiwa pamoja.
Mungu Ibariki Tanzania