Nashauri msemaji ya Tabora united asibugudhiwe, ila ataniwe TU

Lee Van free

JF-Expert Member
Aug 14, 2024
1,549
5,447
Huyu ni dada yetu, ni mpenda soka mwenzetu, na anaifanya soka ipendwe zaidi na wanawake/wasichana.

Naomba wanaume wenzangu kwa vyovyote vile mtanieni utani wote lakini nawashauri msimtanie utani usio faa, usio katika maadili ya taifa letu na hususan msimtanie mambo yanayokwaza kwa jinsia yake.

Maana nimesikia Kuna baadhi ya wanaume wamekua wakimkashifu kuhusiana na jinsia yake.

Fifa imelifanya soka kua mchezo wa wote naomba tuheshimu hilo.

Ila kaeni mkijua kua Kuna familia baba Simba mama Yanga na kinyume chake,watoto yanya wengine Simba na tofauti na wazazi wao.

Mfano Ali Kamwe ni Yanga baba yake ni Simba,pia fahamuni kua Ahmed Ali na Ali Kamwe ni marafiki wakubwa sana.

Nimeamua kueleza hivyo baada ya kuona Kuna baadhi ya wanaume wanamshambulia Christina wa Tabora kwa jinsia yake badala ya kumcheka kama msemaji wa Tabora UNited.

Kwa wanasimba wenzangu kumbukeni kua tuna timu yetu ya wanawake Simba Queens, inatoa adhabu kali sana Kwa timu nyingine za wanawake zinazojichanganya kwake.

Soka Sasa hivi limekua,kumpata msemaji wa kike kama Christina ni furaha sana.

Naomba tumpe heshima yake lakini tuendelee kumcheka kwa kuponzwa na "kamdomo"
Simba 3-0 Tabora,
Simba guvu mpya😄
I🦁🦁🦁
 
Huo ni usemaji wa kishamba. Usemaji unaochochea kuamsha morali kwa timu pinzani ni usemaji wa kishamba.

Unafikiri wakina Ancelloti na Guardiola hawana akili wanaposifu ubora wa timu kama Stoke City?

Katika vitu hizi timu za Kariakoo hazipendi ni dharau. Ndio maana wakikutana wenyewe hata kama mmoja mbovu atajitutumua kufa na kupona asifedheheke.

Wewe na katimu kako wiki nzima unakata mauno kwenye vyombo vya habari mara tunazitaka million 100, mara wamepigwa Yanga na Azam wao kina nani... blah blah blah.
 
Huo ni usemaji wa kishamba. Usemaji unaochochea kuamsha morali kwa timu pinzani ni usemaji wa kishamba.

Unafikiri wakina Ancelloti na Guardiola hawana akili wanaposifu ubora wa timu kama Stoke City?

Katika vitu hizi timu za Kariakoo hazipendi ni dharau. Ndio maana wakikutana wenyewe hata kama mmoja mbovu atajitutumua kufa na kupona asifedheheke.

Wewe na katimu kako wiki nzima unakata mauno kwenye vyombo vya habari mara tunazitaka million 100, mara wamepigwa Yanga na Azam wao kina nani... blah blah blah.
Sawa lakini hilo ni tatizo Kwa timu yake na inabidi Tabora UNited walifanyie kazi,ila sisi halituhusu na isiwe sababu ya kupelekea kumtukania jinsia yake
 
Mashabiki wengi ni vilaza, soka kwao imekua kama dini yao, mtu akiisema vibaya anawaka anaweza hata kukupiga mawe kwa kitu kidogo tu.
Ni kweli kabisa,soka ni mchezo wa pande mbili tuanchotakiwa kufanya ni kushangilia tukishinda ,kuwashangilia wachezaji wetu uwanjani ili kuwapa moyo na kuwacheka na kuwatania wapinzani walishindwa ,lkn sio kuwapiga na kuwatukana kwa namna yoyote Ile.
 
Huyu ni dada yetu, ni mpenda soka mwenzetu, na anaifanya soka ipendwe zaidi na wanawake/wasichana.

Naomba wanaume wenzangu kwa vyovyote vile mtanieni utani wote lakini nawashauri msimtanie utani usio faa, usio katika maadili ya taifa letu na hususan msimtanie mambo yanayokwaza kwa jinsia yake.

Maana nimesikia Kuna baadhi ya wanaume wamekua wakimkashifu kuhusiana na jinsia yake.

Fifa imelifanya soka kua mchezo wa wote naomba tuheshimu hilo.

Ila kaeni mkijua kua Kuna familia baba Simba mama Yanga na kinyume chake,watoto yanya wengine Simba na tofauti na wazazi wao.

Mfano Ali Kamwe ni Yanga baba yake ni Simba,pia fahamuni kua Ahmed Ali na Ali Kamwe ni marafiki wakubwa sana.

Nimeamua kueleza hivyo baada ya kuona Kuna baadhi ya wanaume wanamshambulia Christina wa Tabora kwa jinsia yake badala ya kumcheka kama msemaji wa Tabora UNited.

Kwa wanasimba wenzangu kumbukeni kua tuna timu yetu ya wanawake Simba Queens, inatoa adhabu kali sana Kwa timu nyingine za wanawake zinazojichanganya kwake.

Soka Sasa hivi limekua,kumpata msemaji wa kike kama Christina ni furaha sana.

Naomba tumpe heshima yake lakini tuendelee kumcheka kwa kuponzwa na "kamdomo"
Simba 3-0 Tabora,
Simba guvu mpya😄
I🦁🦁🦁
Mpira mchezo wa kihuni ameamua kuja huku akubali matusi ya wahuni au atafute kazi nyingine
 
Ila apunguze kuropoka. Kuna kutania na kuropoka. Naboreka kumsikiliza
Pengine nia yake alikua anataka kutoka au kujulikana au kusikika kupitia Simba, si unajua Tena kua Simba ni jina kubwa ?na ameshajulikana.
Ni wazi kabisa Tabora asingeifunga Simba kwa sababu Simba isingekubali kuwa katika orodha ya timu zilizofungwa na Tabora na kukubali kushushwa kileleni na Tabora.
 
Anawachachafya...
Amejua kuitumia Simba kupaisha jina lake.
Sasa hivi anajulikana Afrika nzima kwa kujaribu kuitishia Simba,akili mkichwa.
Nimejikuta nampenda TU ghafla,hata Ahmed Ali kamsifia na amepelekea kujaza nyomi uwanja wa Ali Hasan Mwinyi.
 
Back
Top Bottom