Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Nashauri vinyozi na wasusi wawe na vyuo vyao vinavyofundisha kunyoa na kusuka pia zitolewe elimu jinsi ya kuhakikisha usalama kwa mnyoaji au msukaji
Nchi za wenzetu kama vile Germany kama huna cheti huruhusiwi kushika nywele za mtu na kama ikitokea kipindi anasuka au kunyoa akapata matatizo yoyote hiyo saluni inafungwa
Hii sheria ije na Tanzania kwa maana vinyozi wengi hawana elimu kuhusu safety hazard.
Nchi za wenzetu kama vile Germany kama huna cheti huruhusiwi kushika nywele za mtu na kama ikitokea kipindi anasuka au kunyoa akapata matatizo yoyote hiyo saluni inafungwa
Hii sheria ije na Tanzania kwa maana vinyozi wengi hawana elimu kuhusu safety hazard.