mputamaseko
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,401
- 949
Nashauri wananchi tujiunge pamoja na kuwadhibiti hawa watu wasiofahamika. Sasa hv nchi hii watu wanauliwa hovyo kama kuku, wengine maiti zinaokotwa mtoni,wengine baharini wengine walikuwa wanataka kukimbia chini ya mikono salama ni shida tupu. Yaani utafikiri nchi inakiu ya damu ya watu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app