Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,387
Ndio zetu dua mkuu.upendo na amani
Ndio zetu dua mkuu.upendo na amani
NdioMbona unasema pole kwa walioguswa, wewe hujaguswa?
Kivipi mkuu Mtanzania mwenzetu kapigwa risasi halafu wewe unasema hujaguswa, wewe umefurahia kitendo hicho au unaona ni sawa tu?Ndio
Natanguliza pole nyingi sana kwa Mh. Lissu pamoja na familia yake kwa tukio baya la kijasusi lenye kuiabisha nchi yetu.
Pamoja na upelelezi unaoendelea, napenda kuishauri Polisi na pia chama cha CHADEMA kutoa ulinzi thabiti kwa dereva wa Mh. Lissu.
Kwenye tukio zima kilichotokea huyu ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kusema aina ya gari namba zake hata sura ya wahusika
Kwanza yeye kama dereva hakuwa katika hatari kubwa kama ilivyo kwa Lissu, alikuwa na muda mwingi hata wa kupiga picha au kusoma namba.
Maadui kwasasa watakuwa wanamwinda huyu dereva ili kupoteza ushahidi
Naomba jambo hili lipewe kipaumbele
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujamuelewa,,kmbka dereva hakuumizwa so wakat majambaz wanasepa labda alitoka akapga picha kwa simu(hii inawezekana) ,na kmbk majambaz inasemekana walikaa muda mwngi wanasubri lissu ashuke ili wamuue so huo muda ni lazm dereva alijua namba,na kingne hilo gari limewafatilia toka bungeniYan gari ulilomo ndani linapigwa risasi unawezaje kupiga picha?
Umekifkiria vizuri ulichokiandika?
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Mkuu,what do u mean hakua professional na what do u mean abt off target ? Wakati unaambiwa ilikua ni bunduki kubwa sms au ak47 ambyo walipiga wakiwa ndani ya gari so lazma wakosee (lengo walitak wampigie nje) af utaitaje off target wakati ukiangalia gari matundu yamelenga kichwani na tumboni,,,hii ni bahati tu ya lissu kuponaYan akili za mleta uzi zimenishinda kuzielewa,eti dereva hakuwa ktk hatar kubwa angeweza kupiga picha,cha kushukuru ni kwamba mshambuliaji sio professional na ndio maana amepiga risasi nyingi off target na chache alizompata amepiga sehemu zisizo na madhara makubwa ya moja kwa moja,kinyume na hapo angepigwa lissu na dereva pia ili kuondoa chembe ya shaka ya ushahidi.
AiseeeYan gari ulilomo ndani linapigwa risasi unawezaje kupiga picha?
Umekifkiria vizuri ulichokiandika?
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Nooooo kwa hili hapana big nooooSometimes Dereva huwa ni sehemu ya....
Off target Nina maana lengo halikuwa kupiga Gari risasi ila kumpata lissu,lissu ndio alikuwa target kwahyo kitendo cha risasi tano tu kumpata Ina maana zingine zimemkosa kwahyo ni off target hazijahit kwa muhusika,unprofessional kwa sababu walikuwa karibu sana na siraha kubwa hawakutakiwa kumkosa na wamemimina risasi nyingi sana hii inaonyesha udhaifu,kumbuka mauaji ya mkuu wa polisi Uganda alikuwa ktk gar kama hivi akauwawa na hazikumwagwa risasi nyingi hivyo lakini aliuwawaMkuu,what do u mean hakua professional na what do u mean abt off target ? Wakati unaambiwa ilikua ni bunduki kubwa sms au ak47 ambyo walipiga wakiwa ndani ya gari so lazma wakosee (lengo walitak wampigie nje) af utaitaje off target wakati ukiangalia gari matundu yamelenga kichwani na tumboni,,,hii ni bahati tu ya lissu kupona
Sent using Jamii Forums mobile app