mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 690
Natanguliza pole nyingi sana kwa Mh. Lissu pamoja na familia yake kwa tukio baya la kijasusi lenye kuiabisha nchi yetu.
Pamoja na upelelezi unaoendelea, napenda kuishauri Polisi na pia chama cha CHADEMA kutoa ulinzi thabiti kwa dereva wa Mh. Lissu.
Kwenye tukio zima kilichotokea huyu ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kusema aina ya gari namba zake hata sura ya wahusika
Kwanza yeye kama dereva hakuwa katika hatari kubwa kama ilivyo kwa Lissu, alikuwa na muda mwingi hata wa kupiga picha au kusoma namba.
Maadui kwasasa watakuwa wanamwinda huyu dereva ili kupoteza ushahidi
Naomba jambo hili lipewe kipaumbele
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na upelelezi unaoendelea, napenda kuishauri Polisi na pia chama cha CHADEMA kutoa ulinzi thabiti kwa dereva wa Mh. Lissu.
Kwenye tukio zima kilichotokea huyu ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kusema aina ya gari namba zake hata sura ya wahusika
Kwanza yeye kama dereva hakuwa katika hatari kubwa kama ilivyo kwa Lissu, alikuwa na muda mwingi hata wa kupiga picha au kusoma namba.
Maadui kwasasa watakuwa wanamwinda huyu dereva ili kupoteza ushahidi
Naomba jambo hili lipewe kipaumbele
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app