Nashauri CCM iteua mwandishi kutoka kila chombo wa kutembea naye

Nashauri CCM iteua mwandishi kutoka kila chombo wa kutembea naye

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
20,725
Reaction score
31,305
Haya mambo ya na hujuma kila mahali. Jana nadhani yule ni Idda Mushi, ndiye alipewa kazi ya kuripoti ziara ya kampeni.! Naongelea taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku

Kwa kushirikiana na Mhariri wa ITV walikuwa wanaonyesha sehemu ambazo watu hawakukaa kwa sababu ya jua kali, mwisho kabisa wa uwanja ili kuaminisha kwamba watu hawakuwa wengi.

Nashauri team ya kampeni iteue mtu ambaye atakuwa attached permanently kwenye ziara kuachana na mapandikizi. Kila chombo CCM iteue wa kutembea naye
 
Haya mambo ya na hujuma kila mahali. Jana nadhani yule ni Idda Mushi, mwanachadema maarufu Morogoro, ndiye alipewa kazi ya kuripoti ziara ya kampeni. Imagine taarifa ya mgombea wa CCM inatolewa na kada wa chadema! Naongelea taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku

Kwa kushirikiana na Mhariri wa ITV walikuwa wanaonyesha sehemu ambazo watu hawakukaa kwa sababu ya jua kali, mwisho kabisa wa uwanja ili kuaminisha kwamba watu hawakuwa wengi.

Nashauri team ya kampeni iteue mtu ambaye atakuwa attached permanently kwenye ziara kuachana na mapandikizi. Kila chombo CCM iteue wa kutembea naye
Uchaguzi hauna ushindani wa kutumia nguvu yote hiyo.
 
Haya mambo ya na hujuma kila mahali. Jana nadhani yule ni Idda Mushi, mwanachadema maarufu Morogoro, ndiye alipewa kazi ya kuripoti ziara ya kampeni. Imagine taarifa ya mgombea wa CCM inatolewa na kada wa chadema! Naongelea taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku

Kwa kushirikiana na Mhariri wa ITV walikuwa wanaonyesha sehemu ambazo watu hawakukaa kwa sababu ya jua kali, mwisho kabisa wa uwanja ili kuaminisha kwamba watu hawakuwa wengi.

Nashauri team ya kampeni iteue mtu ambaye atakuwa attached permanently kwenye ziara kuachana na mapandikizi. Kila chombo CCM iteue wa kutembea naye
kwani ccm wao hawana vyombo vya habari wacha ujinga wewe usipende kuwa mashetani
 
Bila kusomba na kujaza watu CCM haitapata mtu kwenye Mkutano wake
 
Hamchoki kuwatafutia watu sababu za kuwaua siyo? Mkimalizana naye kesho mtaanza tena, "mbona yule Mwananchi anamwangalia mgombea wetu namna ile?"
 
Haya mambo ya na hujuma kila mahali. Jana nadhani yule ni Idda Mushi, mwanachadema maarufu Morogoro, ndiye alipewa kazi ya kuripoti ziara ya kampeni. Imagine taarifa ya mgombea wa CCM inatolewa na kada wa chadema! Naongelea taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku

Kwa kushirikiana na Mhariri wa ITV walikuwa wanaonyesha sehemu ambazo watu hawakukaa kwa sababu ya jua kali, mwisho kabisa wa uwanja ili kuaminisha kwamba watu hawakuwa wengi.

Nashauri team ya kampeni iteue mtu ambaye atakuwa attached permanently kwenye ziara kuachana na mapandikizi. Kila chombo CCM iteue wa kutembea naye
😂😂😂 mnataka waandishi wale wa kuchakachua picha sio
 
Haya mambo ya na hujuma kila mahali. Jana nadhani yule ni Idda Mushi, mwanachadema maarufu Morogoro, ndiye alipewa kazi ya kuripoti ziara ya kampeni. Imagine taarifa ya mgombea wa CCM inatolewa na kada wa chadema! Naongelea taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku

Kwa kushirikiana na Mhariri wa ITV walikuwa wanaonyesha sehemu ambazo watu hawakukaa kwa sababu ya jua kali, mwisho kabisa wa uwanja ili kuaminisha kwamba watu hawakuwa wengi.

Nashauri team ya kampeni iteue mtu ambaye atakuwa attached permanently kwenye ziara kuachana na mapandikizi. Kila chombo CCM iteue wa kutembea naye
Perdiem za hao waandishi watakaokuwa wanatembea na kampeni za mama utakuwa unalipa wewe?
 
Very stupid!

Hivi wangeonesha watu walivyosombwa kutoka meneo ya wilaya na mikoa jirani, ungepiga hizi kelele za kijinga kwa kiasi gani!! Na kama wakionesha watu wanavyosombwa, wanakuwa wameonesha uwongo? Yawezekana akili yako imemezwa na uchawa, hicho kidogo ilichosalia nacho, jitahidi kudhihirisha kuwa bado unacho. Kwa sasa inaonekana bichwa limebakia tupu!!
 
Nyie wajuba chawa pro max wa sgr mnachekesha sana! Kampeni zenyewe hazina ushindani zimepoa halafu mnang'ang'aniza ziwe na amshaamsha na vibe kubwa, kama vipi chadema kiboko yenu ingeshiriki uchaguzi huu madai haya ya kipuuzi yangeonekana ya maana kwa kuwa kuna upinzani haswa kwenye kampeni. Sasa ccm haina upinzani hiyo hujuma inatoka wapi mjuba?
 
ccmtanzania_a8fc16b06e0749368b2ae256a79c8f14.jpg
ccmtanzania_a8fc16b06e0749368b2ae256a79c8f14.jpg
 
Wachaga kutetemeka, hizi kampeni zenu hazina mvuto, kwa nini mtake mikutano yenu imejaa watu? Tumieni AI kutengeneza picha za nyomi kama wingi wa watu ni ufahari kwenye mikutano yenu. Fahamuni kuwa mikutano yenu itadoda sana safari hii hata mkisomba watu kwa malori ni kazi bure, mmechokwa kwa abrakadabra zenu za kisiasa
 
Back
Top Bottom