Nashauri CCM iteua mwandishi kutoka kila chombo wa kutembea naye

Nashauri CCM iteua mwandishi kutoka kila chombo wa kutembea naye

Nyie wajuba chawa pro max wa sgr mnachekesha sana! Kampeni zenyewe hazina ushindani zimepoa halafu mnang'ang'aniza ziwe na amshaamsha na vibe kubwa, kama vipi chadema kiboko yenu ingeshiriki uchaguzi huu madai haya ya kipuuzi yangeonekana ya maana kwa kuwa kuna upinzani haswa kwenye kampeni. Sasa ccm haina upinzani hiyo hujuma inatoka wapi mjuba?
Idda Mushi atalipa gharama za hujuma
 
Idda Mushi atalipa gharama za hujuma
unadai kahujumu, kahujumu vipi wakati kampeni ndio kwanza zinaanza na hazina watu wengi? Halafu idda ni chadema au chaumma mjuba? Unachanganya mambo
 
Sikiliza mjuba, kwani nyie wakati mnaanza kampeni zenu hamkupanga timu yenu ya waandishi wa habari wa kuzunguka na mgombea wenu nchi nzima kufanya propaganda? Halafu mind kuwa media zote nchi hii mmezitia mfukoni kwenu zinaripoti mambo yenu tu, why umlalamikie idda wakati chombo anachofanyia kazi kiko mfukoni kwenu?
 
Haya mambo ya na hujuma kila mahali. Jana nadhani yule ni Idda Mushi, mwanachadema maarufu Morogoro, ndiye alipewa kazi ya kuripoti ziara ya kampeni. Imagine taarifa ya mgombea wa CCM inatolewa na kada wa chadema! Naongelea taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku

Kwa kushirikiana na Mhariri wa ITV walikuwa wanaonyesha sehemu ambazo watu hawakukaa kwa sababu ya jua kali, mwisho kabisa wa uwanja ili kuaminisha kwamba watu hawakuwa wengi.

Nashauri team ya kampeni iteue mtu ambaye atakuwa attached permanently kwenye ziara kuachana na mapandikizi. Kila chombo CCM iteue wa kutembea naye
jibu mada yangu ya uzi wako kusema mdude kaachana na siasa wewe tobo la mamayako mzazi aliyekuzaa
 
Kwa nini unatokwa povu kwa jinsi idda alivyoripoti kampeni wakati ccm imekamata meidia zote za nchi hii?
 
unadai kahujumu, kahujumu vipi wakati kampeni ndio kwanza zinaanza na hazina watu wengi? Halafu idda ni chadema au chaumma mjuba? Unachanganya mambo
Chauma ni Devota Minja, usitumie kichwa kubebea mizigo, kitumie kufikiri
 
Nashauri hivyo ITV na wengine kuonyesha sehemu hizo na usombwaji watu ...bila hivyo watarajie watanzamaji hawatakuwepo
 
Inatumika nguvu kubwa sana kuwaminisha watu kuwa hiki chama kinakubalika. Jana Abood alitoa mabasi yake kuwapeleka watu kwenye mkutano. Huku mtaan kwetu walitoka wachache sana. Wengi ni wale mwanaccm na wale buku 5000. Kwahiyo walichokionesha ITV ndio ukweli wenyewe

Wale akina mama ambao miaka yote wanajaa kwenye mkutano Sasa hivi life imewabana. Madeni ya vikoba na marejesho imewakalia kooni, hawapo tayar kupotezewa muda. Hao ambao mnawaona huko ni wale ambao walitembelewa na balozi siku moja kabla ya mkutano.
 
Labda nikushauri tu mjuba usiwe na stress kampeni zenu hazina upinzani, zitakuwa ni safari za utalii tu kuzunguka nchi nzima muangalie mandhari na maumbile ya nchi. Ni ziara za kula bata tu, upinzani haupo, hata msipotembelea majimbo yote mtajishindia bwerere, usilalamikie waandishi kwa angle watakavyo ripoti ziara za kutembelea majimbo. Mtaonekana ni wazembe na hamkutoa semina elekezi kwa waandishi wenu wa kampeni na kitengo cha propaganda cha chama chenu ni kibovu
 
Haya mambo ya na hujuma kila mahali. Jana nadhani yule ni Idda Mushi, ndiye alipewa kazi ya kuripoti ziara ya kampeni.! Naongelea taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku

Kwa kushirikiana na Mhariri wa ITV walikuwa wanaonyesha sehemu ambazo watu hawakukaa kwa sababu ya jua kali, mwisho kabisa wa uwanja ili kuaminisha kwamba watu hawakuwa wengi.

Nashauri team ya kampeni iteue mtu ambaye atakuwa attached permanently kwenye ziara kuachana na mapandikizi. Kila chombo CCM iteue wa kutembea naye
Kinembe si kuna Tbccm ,Uhuru media ,Chanel Ten na star TV ambao ni 👇
 

Attachments

  • downloadfile-1.jpg
    downloadfile-1.jpg
    66.6 KB · Views: 9
Ni AIBU pamoja na kusomba watu na malori lakini Bado uwanja haujai, ama kweli Chama kimechokwa
 
Nimeuliza ushahidi mkuu, sio maswali
Ramadhan Kailima mkurugenzi wa tume ya uchaguzi kateuliwa na Samia

Pia mwenyekiti wa tume na makamishna watano wa tume wateuliwa na Samia
 
Back
Top Bottom