Nashangaa sana wanaopenda makalio makubwa

Halafu ktu kingine sipendi ile mtu unatembea halafu mtu anageuka nyuma anaangalia makalio hyo tabia sipendi. Nikafanya kla njia nikarudi mwili wa kawaida na nika apa sitokuja kunenepa tena labda nipate ugonjwa lakin hivi kawaida tu never.

Ila nashangaa kuna wengine wanaringia makalio hivi yana uzuri gani? Ati wengine wanatumia hadi dawa wanaongeza makalio 🙄 hivi mnayapendea nn hamuoni kero au huwa yanawapa faida gani hyo makalio yenu? Kwanza mkivaa hampendezi mnatuna tu 😏

Umewahi kujiuliza kwanini hao wenye makalio makubwa wakitembea wanakodolewa macho?
 
Mimi naona km mzigo halafu hta wakivaa hawapendezi wanakuwa wametuna km wamebeba mzigo wa nn sijui.

Mimi ktu siwezi kuja kuruhusu kwa mwili wangu ni kunenepa halafu nije kuwa na makalio makubwa. Sipendi kuwa na hyo mizigo. Kwanza nikiwa na hyo mizigo nakosa confidence nakuwa mdogooo confidence zero sijui Kwann 😂

Niliwah kunenepa mara moja wakat nilivomaliza high school nikasema ktk maisha yngu sitakuja ninenepe tena maana nilikuwa nakaa ndani tu nikawa sijiamini.

Halafu ktu kingine sipendi ile mtu unatembea halafu mtu anageuka nyuma anaangalia makalio hyo tabia sipendi. Nikafanya kla njia nikarudi mwili wa kawaida na nika apa sitokuja kunenepa tena labda nipate ugonjwa lakin hivi kawaida tu never.

Ila nashangaa kuna wengine wanaringia makalio hivi yana uzuri gani? Ati wengine wanatumia hadi dawa wanaongeza makalio 🙄 hivi mnayapendea nn hamuoni kero au huwa yanawapa faida gani hyo makalio yenu? Kwanza mkivaa hampendezi mnatuna tu 😏
wengine ndo yanayotudatisha hayo tushachoka viflat screen
 
Ass siyo tu lazima uwe na big Tako hapana Kaka yangu hata Portable anaweza akakutunuku tu.

Tatizo la wenye Makalio makubwa ukisema Umuoe basi tegemea After 5years After Several Birth Practice
Basi tegemea Atazeeka mpaka utashindwa kuongozana nae.

Tafuta simple tu like me
Utachek hiyo picture nimeikata kipande simple anatoosha siyo huyo mwenye mikalio mikubwa aka Fangasi za kutosha.
View attachment 1362408

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu ni wewe au?
 
Mkuu faida ya zigo huwezi kuiona wewe!..
Tuachie sisi tunayoyapenda tuendelee kuhangaika nayo!..
Kuna msemo ulikuwepo kitaa kuwa siku hizi demu mwenye chura hata kama kaishia la pili D anatembea kwa kujiamini sana kuliko yule msomi mwenye shahada lakini hana wowowo...
.
.
Mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana mkuu hajui tu huyu dem

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makalio makubwa ni mazuri kwa kuyatazama tu, ukiingia nao kitandani unaanza kuona ni kawaida sanaa tu, Mimi binafsi siwezi kuoa demu mwenye Matako makubwa, Mademu wengi Wenye makalio makubwa ni wachafu I. e poor hygiene, yanahitaji usafi wa hali ya juu ambao wengi wao hawawezi.
Acha uongo wako mm Nina tandamu moja safi hatari hata hizo flat screen zako zikasome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom