chiefnyumbanitu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 906
- 426
- Thread starter
- #21
UNA MIAKA CHINI YA 18Ndio maisha yetu
UNA MIAKA CHINI YA 18Ndio maisha yetu
Habari wa za kutwa kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapa jf naona kama hoja za mapenzi zimetawala, sasa nimejiuliza humu ndani kuna nani anayetaka kujua kuhusu mapenzi maana mapenzi yapo toka enzi za mababu na mapenzi kila mtu na stail yake.
Ushauli wangu mjue kuwa mapenzi hayafundishwi kila mtu ana stail yake. Nawakilisha.
We nanga kweli yani!!! Kwa hiyo ulitaka nini kipya kitawale wakati humu ni MMU!! pendekeza sasa sio unaropoka ropoka tu vitu nusu nusuHabari wa za kutwa kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapa jf naona kama hoja za mapenzi zimetawala, sasa nimejiuliza humu ndani kuna nani anayetaka kujua kuhusu mapenzi maana mapenzi yapo toka enzi za mababu na mapenzi kila mtu na stail yake.
Ushauli wangu mjue kuwa mapenzi hayafundishwi kila mtu ana stail yake. Nawakilisha.
Na nani mkuuJUKWAA LA MADA ZA MAPENZI LITAONDOLEWA HIVI PUNDE
Nanga wa demo hahahaWe nanga kweli yani!!! Kwa hiyo ulitaka nini kipya kitawale wakati humu ni MMU!! pendekeza sasa sio unaropoka ropoka tu vitu nusu nusu
UtabiriNa nani mkuu
Ndoto za mchana za mwendokasi zenye uongo wa kiwango cha lamiUtabiri