Nasalimiwa na watu wakubwa kulikoni?

Nasalimiwa na watu wakubwa kulikoni?

UMASIKINI BWANA

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2013
Posts
942
Reaction score
567
Habari wana gt.

Nikipita mtaani kazini au sehemu yoyote najikuta napokea salamu Kwa wadogo na baadhi ya watu wazima walionizidi umri wananiamkia.

Cha ajabu sina cheo sina pesa za kutisha wala cheo cha hadhi yoyote.Mpaka najistukia kusalimiwa na wakubwa.Hii ina maana gani wadau.[emoji41]
 
baadhi ya jamii hasa kabila moja mkoa wa ruvuma mzee kuamkia kijana ni jambo la kawaida, lakini nilichogundua hiyo heshima haukuhusu wewe bali wadhifa/kazi na wameshatishana huko mtaani labda wewe USALAMA WA TAIFA[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha upuuzi Bablai mi nadunda tu sema kipara kinanibeba sasa sijui huyu kolo mleta uzi labda kitambo kunamuwezesha.
Kuna jamaa naye ilimtokeaga hivyo,

Bahati mbaya hakumaliza miezi sita akafariki.
 
Back
Top Bottom