nasafirisha parcel kati ya dar na zanzibar.

nasafirisha parcel kati ya dar na zanzibar.

Zanzibar Spices nahitaji birika la kuchemshia maji uninunulie na kunitumia kwa huyu jamaa nipm namba yako nikurushie pesa.

usijali mkuu,ongea nae tu....ntakusafirishia kwa uhakika kabisa....
 
mkuu ni pm namba yako fasta, kuna ndugu yangu ana mzigo anataka kuuleta huku bara (friji) kutokeA zanzibar ila hana mtu wa kusafirisha huo mzigo
 
mkuu ni pm namba yako fasta, kuna ndugu yangu ana mzigo anataka kuuleta huku bara (friji) kutokeA zanzibar ila hana mtu wa kusafirisha huo mzigo

mkuu,friji kwa meli yangu itakua ngumu na kulitoa dar itakua ni ghali sana,mwambie alisafirishe kwa flying horse usiku.
 
mkuu,friji kwa meli yangu itakua ngumu na kulitoa dar itakua ni ghali sana,mwambie alisafirishe kwa flying horse usiku.

We kweli umelala,sasa kama kusafirisha ni kazi yako,kwanini usichukue hii tender kisha ukamtafuta Baharia pale Flying horse akausafirisha na wewe ukapata angalau buku mbili siku imeingia,unapata angalu Kula ya Mchana pale Passing show Restaurant au Kendwa kule malindi.
 
nasafirisha parcel ndogo ndogo kati ya dar na zanzibar...
Duration maximum 3 days and below..
Price 5000 tu....
Karibuni.

Siku 3? Tuseme unakuja nazo kwa miguu au? Mana kwa usafiri wa boti siku 3 ni nyingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom