Mtingozi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 248
- 258
Sina jinsi nitakua nje ya nchi kwa mwezi huu wote labda mambo yakienda vizuri wakati wa siku kuu nitarudi japo possibility ni ndogo ni safari ya kikazi(sio ya kiserikali) hofu yangu kubwa ni kuchapiwa my bloody nampenda sana lakini watu wanamsumbua sana wakimdannganya wajanja wa mjini nimeisha maana nimemuachia kila kitu funguo ya gari funguo ya nyumba japo yupo chuo na biashara zangu atasimamia yeye jamani have respect on my girlfriend sitaki mumsumbue pleaseeeeeeee
Hahahahaaa! Roho inaacha mwili.