Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,803
- 36,459
Uzinzi siyo laana, umasikini ndiyo inaweza ikawa laana yenyewe, maana umasikini unaleta magonjwa, bifo, kudharauliana n,k katika jamiiNakazia, Uzinzi ni laaana.
Uzinzi ni chanzo cha mikosi na Mifarakano kwenye familia.
Uzinzi huleta Magonjwa, Vifo na Umaskini. JIHADHARI
Nakazia hapaMimi naona maisha ni kama hayana formula, maana kuna watu siyo walevi na siyo wazinzi ila hakuna cha maana tunachomiliki.
Hiyo afya tu unayoimiliki inatosha,hao kwenye kundi la kwanza wenye sifa ulizozitaja hapo juu wengi wana sukari pressure na figo hazifai.Mimi naona maisha ni kama hayana formula, maana kuna watu siyo walevi na siyo wazinzi ila hakuna cha maana tunachomiliki.
Sina afya yoyote niliyonayo!Hiyo afya tu unayoimiliki inatosha,hao kwenye kundi la kwanza wenye sifa ulizozitaja hapo juu wengi wana sukari pressure na figo hazifai.
Hao kundi la pili wanaishi kwa tembe za dawa na wasiwasi wanaona kama kesho hawataiona visababishi vikiwa hivyo ulivyotaja hapo juu.
Kwani we Leejay49 ni mzinzi hadi ukubali huo ushauri?Sawa
ubaya wa kitu unaanzia pale unapokifahamu , uzinzi maana yake nini labda, kwa lugha rahisiMimi kazi yangu ni kukuonya kijana uache tabia za uzinzi na ulevi.
Leo nakazia tena hasa kwenye uzinzi.
Kijana acha uzinzi.
Acha uzinzi
Nimeitikia Kwa niaba yao, maana najua watapita kimyakimya 😃😃Kwani we Leejay49 ni mzinzi hadi ukubali huo ushauri?
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Ili iweje?Mimi kazi yangu ni kukuonya kijana uache tabia za uzinzi na ulevi.
Leo nakazia tena hasa kwenye uzinzi.
Kijana acha uzinzi.
Acha uzinzi