Narudia tena: Kijana acha uzinzi

Mimi naona maisha ni kama hayana formula, maana kuna watu siyo walevi na siyo wazinzi ila hakuna cha maana tunachomiliki.
Hiyo afya tu unayoimiliki inatosha,hao kwenye kundi la kwanza wenye sifa ulizozitaja hapo juu wengi wana sukari pressure na figo hazifai.

Hao kundi la pili wanaishi kwa tembe za dawa na wasiwasi wanaona kama kesho hawataiona visababishi vikiwa hivyo ulivyotaja hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…