Silent King
Senior Member
- Jul 17, 2026
- 163
- 361
Sawa unakuwa wewe lakini mbona unakuwa tofauti na mentors wako ambao unawasoma kwenye hivyo vitabu?That's what am doing bro.
Am not flexing am just being me
Yani umemjua kama umemzaaπ hajui tu watu wa kilog off wanasahau takataka zote za humuTatizo lake anahisi humu watu wanajali kuhusu watu wengine. Na ndo kitu kinamtesa anahisi yeye ana umuhimu, kumbe alipopigwa ban hakuna hata anayejali kuhusu yeye ndiomana akaamua kuibuka na id nyingine aonekane..!! πΉπΉπΉ
Huyu kiwango chake cha uchizi kiko juu sana ni wa kufungwa kambaβ¦..!!
Siyo lazima afuate kila kitu hata robo yake inafaa maana haishi kwa kukaririSawa unakuwa wewe lakini mbona unakuwa tofauti na mentors wako ambao unawasoma kwenye hivyo vitabu?
Je mentors wako wanafundisha kuwa na majigambo? Wanafundisha kujiona wewe ni bora kuliko wengine?
Wanafundisha kupata heshima au kutambulika Kwa lazima?
Listen dude, kuna msemo unasema "iache kazi yako ikutambulishe uwezo wako"
Mfanyakazi mzuri ataonekana kupitia kazi yake anayoifanya,watu wakiona kazi yake watasema he or she is best
Ila wewe mwenyewe ukianza kusema mimi ni mchapakazi wakati hukuna Matokeo,watu watakushangaa
Sasa chapisha machapisho ya kiplatnum halafu watu waseme wenyewe yes de Gunner anastahili kuwa kweli platinum member
Be humble,mwerevu,muelewa mwaisho wa siku heshima itakuja yenyewe, nakwambia haya as your brother nakutakia mema
Mwenyewe umechanganya hapi,ENG na Swahili ndio lugha ganiMtu anaechanganya lugha namuona mshamba na pumbavu kupitiliza KAMA UMEAMUA KUANDIKA ENG ANDIKA ENG Kama swahili swahili tu
Ewaaa!Anaku-approach ili apate mafaili yako siku akirukwa akili anakuanika jukwaani ππ
Ewaaa!
Bro, nimefurahi tu kuona umerudisha profile yako.
Sawa shemegiShe's soo busy to deal with these horrible rumors.
Kati ya watu ambao hawezi hata kufikiria hilo jambo ni mimi... Naomba usimrushe kipepeo binti kiziwi πAnaku-approach ili apate mafaili yako siku akirukwa akili anakuanika jukwaani ππ
Yaani π π π ππππ kumbe 11 the the guuna ππππ jf Kuna Nini mbona vijana wanatumia nguvu kubwa sana πππ
Mungu akutunze sana rafiki, sikufahamu kama upo kwa hali kama hiyo
πππ
Aisee ππππ
Kijana ana shida sehemu, anahangaika na IDs nyingi hapo hapo anakuwa anazipigia misele IDs zenye majina ya kike. Hivi hata kama kweli ni Mwanamke nani atamkubalia ? Maana mpaka hapo anaonekana kama Tqpeli, mtoto mdogo tu msumbufu au mtu asiyejielewa