Labada wameshawaweka wale waliokuwa wanajitolea
Sio taasis zote wanaoweka majina hadharani mkuu. Mfano ni hawa NarcoMi ninavyofahamu ni kuwa Taasisi za kiserikali huwa wanaweka shortlist.Wasije wakasema walipigia watu simu...
(bora wazingatie kile kipengele cha "only the selected candidates will be shortlisted")
Wameshawapa ndugu zao kazi tayariSasa mkuu taarifa tutapata vipi juu ya matokeo ya maombi yetu?
AhsantePole Martha
Ninaweza kuzungumza na wewe Pm? Kama hutojali
Mkuu bado tu hamjaitwa?Ni mda sasa umepita toka mtangaze ajira zenu na sisi wasakatonge tukajizatiti kuomba . Sasa mbona shortlist ya majina kwa ajili ya interview hamtoi au ndio mchakato mlishaukamilisha juu kwa juu? Uzi tayari. Vyema mtoe mrejesho
Me nimeenda adi Ofisini kwao Nane Zunguni kuuliza kulikoni mbona hatuitwi kwenye inter wakadai bado bado ko tuendelee kupeana update humu JF.Ndio mkuu ni kimya tu.
Hawa kawaida yao kuchelewa kwa kuna aliyeitwa?Shukrani