Napitia katika changamoto kubwa

Asipokuelewa hapa basi, hasa hiyo namba 4 na 6.

Maandiko yanasema " Mungu hujibu kwa wakati wake (sio wako).

Waswahili wanasema "Ukiona kiza totoro ujue ndo kumekaribia kukucha".

Hakika umemshauri vyema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumuombee Mungu apate macho na akili ya kutafakari comments za wakuu hapa na kuzifanyia kazi.vinginevyo atakuja kuomba ushauri akiwa analia
 
Vumilia dada, upo.sahihi kabisa, Mungu hujibu.kwa wakati wake muafaka, endelea na maombi na kujitunza, utakapozaa jua umejiharibia bahati ya mume maana kuoa mwanamke.mwenye mtoto wa kidume mwingine wanaume wengi tunalikwepa hilo maana nikuondoa amani ndani ya nyumba. We sali timiza.wajibu wako ktk kukuomba Mungu, naye Baba wetu wa mbinguni atakuletea mtu. Usiishi kwa kusikia maneno ya watu maana ukizaa hujaolewa hao hao wataanza kusema kazalishwa bila hata ndoa, maneno ya watu ni sumu dada, watu wamejaa unafiki. Msikikize Mungu wako na sio wanadamu. Mbona kazi nzuri kakupa, tena yenye mshahara mzuri ambayo hukutegemea, iweje imani yako ishuke katika hili la pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante ndugu yangu. Maana nikikaa mwenyewe najiona kama niko mkosefu. Angalau niliona nisemee huku ili la moyoni linitoke niweze kufanya kazi vizuri. Kunachangamoto unapita nazo mpaka unaona dunia umeibeba.
 
Ukikosa vyoote hata wa kukupa mtoto, ukifikia hatua ya nani akutoe bikra yako... Tafadhali nishirikishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi naona kama umri unaenda sana hivyo nahofia kukosa mtoto kabisa. Tatizo kubwa nililonalo ninapenda sana watoto na kwa sasa namhitaji kuliko ninavyoweza zungumza.
Et usubiri hadi 40 ndo uende leba ha ha haaa ushauri wangu sio lazima upate unaemtaka ingekua hivyo maisha yangekua mepesi kwa kila mtu

NAKUSHAURI

tafuta mwanaume asie jiweza umuweke ndani muishi wote akuzalishe tu
 
Mtu yupo 32 unasema aendelee kutulia? Mungu hatoi wenza ila hukupa akili ya kumpata mwenza unaemtaka sasa Anza kutembelea sehemu zenye vijana unaowataka kama vyuoni, kwenye makambi ya ibada, kwenye viwanja vya soka, disco, semina za neno la Mungu nk.. Kisha jirahisishe Jifunze kutongoza mwanaume, jiongezee mvuto kisha tambua unachotaka hasa kisha kitafute kwa mbinu zote, hiyo bikra ikishakutoka ndo akili yako itafanya kazi zaidi. Ukiwa na hiyo bikra Kuna sehemu ya ubongo haifanyi kazi vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Ujue hyo 32 alivopanic atazoa had visivozoeleka kuna Dada namfahamu kashahangaika kote huko kila mahali hapati, sasa ndo asifurahie maisha, ifikr mahali Watanzania hasa wanawake wenzangu lazima maisha yaendelee, walioko huko ndani kwenye wa naishi kwenye mateso mume hatafutwi huja mwenyewe baada ya kuona vtu vitakavompendeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
N
Nashukuru ndugu. Niombee mpendwa maana huwa inafikia mpaka akosa cha kuomba wakati wa kusali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…