Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Ndugu yangu kuna vitu kama hujui na huna uhakika navyo unakaa kimya!!!...Huo ndiyo ukweli, Baba yake alikuwa TISS, chama anachoongoza kilianzishwa na TISS (Huwezi kuwa Gavana wa BOT bila kuwa TISS), then unategemea hao watu wasimrithishe chama mtu wao? Naye alikuwa BOT na elimu yake ya form 6!! Kuna watu wajinga sana nchi hii!