kwani chadema ni lini ilijishughulisha na shughuli za Tff?Kiutaratibu ni lazima kuwajulisha FIFA jambo ambalo tayari limefanyika , tunasubiri majibu yao kabla ya kuchukua hatua zingine , isipokuwa kuanzia siku ile Chadema haitashiriki shughuli yoyote inayoandaliwa na TFF