Vip mbona wagonga saaizi yamekukuta yap tena? Ruhazwe JR hajambo lakini?
vipi tena hapo kwenye red tena?kuhusu wifi ndio bado nasalandia lakini ananitosa,au nikuagizie wewe?We acha tu mkuu,
Ruhazwe cjui hata aliofia.
Ndo mana naja kivingine.
Vp Mkuu nawe Wifi yangu hajambo?
Globu,
mbona hupatikaniki au uko Siasani au kule kwa kina Rungu na Funzadume?
We nipe tu hlo tenda,
ila ucje nipa lawama badae.
Gangamara wewe mwanaume!
Hv uoga huo utakuja kuoa kweli? Si utasaidiwa kulelewa mkeo?