Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 844
Habari za asubuhi ndugu zangu
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu ni kwamba nimekuwa nikipendwa sana na wake za watu. Sielewi suala hili niliite ni Tatizo au bahati ama Mkosi kwa maana wakati mwengine huwa naogopa hata kuwafahamu wake/madem wa washkaji zangu nikihofia wasije wakafall in love with me. Naombeni mnishauri nifanye nini ili niepukane na janga hili cz limesha sababisha mie na wife kugombama zaidi ya mara 7 akinihisi labda nina mahusiano na wamawake wengine cz 98% of my contacts ni wanawake. Nashindwa la kufanya kwa sababu hata kazi ninayofanya clients wangu wengi ni wanawake so huwa tunapeana contacts. Nahitaji msaada wenu jamani Kuokoa ndoa yangu. Nilimruhusu wife kupokea simu yangu pamoja na kusoma messages bt haikusaidia cz zaidi ya mara 3 alikuta messages za mialiko ya Lunch kutoka kwa wanawake tofauti. Kuna mtu nilimuelezea akaniambia huenda ni pepo/jini anahusika bt kwa kuwa akili yangu haipo katika imani hizo nilimsikiliza nikapotezea.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu ni kwamba nimekuwa nikipendwa sana na wake za watu. Sielewi suala hili niliite ni Tatizo au bahati ama Mkosi kwa maana wakati mwengine huwa naogopa hata kuwafahamu wake/madem wa washkaji zangu nikihofia wasije wakafall in love with me. Naombeni mnishauri nifanye nini ili niepukane na janga hili cz limesha sababisha mie na wife kugombama zaidi ya mara 7 akinihisi labda nina mahusiano na wamawake wengine cz 98% of my contacts ni wanawake. Nashindwa la kufanya kwa sababu hata kazi ninayofanya clients wangu wengi ni wanawake so huwa tunapeana contacts. Nahitaji msaada wenu jamani Kuokoa ndoa yangu. Nilimruhusu wife kupokea simu yangu pamoja na kusoma messages bt haikusaidia cz zaidi ya mara 3 alikuta messages za mialiko ya Lunch kutoka kwa wanawake tofauti. Kuna mtu nilimuelezea akaniambia huenda ni pepo/jini anahusika bt kwa kuwa akili yangu haipo katika imani hizo nilimsikiliza nikapotezea.