yeye yupo na hao kwa ajili ya kugegedana tuu.ile ameenda bar kaja mmama amepaki prado hapo anaanza mazoea namba za simu kampani za pombe na mwishowe chupi inavuliwaHongera kwa kujitambau kwa hilo na kuliweka wazi, sidhani katika nyakati ya sasa ni kitu kigeni machoni pa watu sema ni vile makuzi ya wengi wetu yametokea kwa kuona mwanamme ndio anatakiwa kuwa mkubwa kwa umri kwenye mahusiano.
Tahadhari tu , usije kujisahau wanawake wanakikomo kwenye kujaliwa watoto.
Oohhh basi nimemuelewa tofauti.yeye yupo na hao kwa ajili ya kugegedana tuu.ile ameenda bar kaja mmama amepaki prado hapo anaanza mazoea namba za simu kampani za pombe na mwishowe chupi inavuliwa
hhhahaaahahahahhahahahhahahahahhahahahhahahahahhahahahahh
what a laughter!Both.Oohhh basi nimemuelewa tofauti.
Kheri Hansen fafanua please, hawa wadada/wamama unakuwa unawavizia kwa ajili ya good time only au kwa ajili ya kujenga maisha?
kumbe kuwa bb ni tusi. ok!we muache tu atukane watu
Poa poa basi. .usisahau Taadhari niliyokupa.Both.
Poa.Poa poa basi. .usisahau Taadhari niliyokupa.
any way...kama ulimaanisha mwanamke mzee, mimi huwa nafumua tuuu hadi anasema "bebi kumbe mie bado kijana hiviii"!!


mkuu umetisha afu kuna watu wanajifanya hawaelewi humu doohNahisi kama ume changanya kidogo. .wadada...watoto wadogo....mabintiKwa kifupi tu wadada wanaraha yake sana. Hawana zile hadithi za watoto wadogo hasa hawa chips kuku. Wana vionjo fulani hivi ambavyo huwez kumweleza mtu akakuelewa kwa haraka, siyo wasumbufu, wako systematic sana!
Mabinti hawa ni wazuri ila wana pro-forma invoice za ajabu ajabu sana kuna zile story za vocha sijui bando imekwisha ndiyo maana sijakutafuta jana na n.k na hujakaa mguu sawa unaskia tena ooh sijaona siku zangu, full changamoto.!
Tatizo jamii hii ya kitanzania ikiona mtu kadate na mdada wanahisi labda unalelewa kumbe huko ndani kijana wawatu unapambana mpaka basi kulinda penzi lako kwa mdada. West or est penzi la mdada ni zuri na tamu kuliko la hawa chenchede.
Naomba niishie hapa!
Na mvi za kitumbua unaziangalia au inakuwa ni wakati wa giza tu! Hongera sana ila umarioo una mwisho. Angalia jinsi ambavyo Dai anajaribu kujinasua inavyokuwa karaha. Mwanaume huwa tunachukua dogodogo tu. Una miaka 70 unachukua binti miaka 18. Hapo ndipo unajiona dume hasa si una miaka 18 unachukua mabibi kama Kasie unajina mjanja. Unabemendwa na kuzamishwa chumvini tu