Napenda wanawake watu wazima

Napenda wanawake watu wazima

Maumbile yake kiafya yanaathirije mapenzi bedroom kwa mfano? labda wewe utakuwa na matatizo ya nguvu za kiume. Binafsi streches naziona huwa zinanongezea hamu...
Huyu anayekueleza ni KE! Nadhani wewe ni mvulana tu
 
Mapenzi raha take u date age mate wako, haya mambo ya kukaa na watu wazima Waikato wewe unawaza mwimbo Moyà wa Diamond meenzako anawaza mirathi ya mume wake
Inaonyesha hili ni tangazo la kutaka awapate wajane.
 
Na mvi za kitumbua unaziangalia au inakuwa ni wakati wa giza tu! Hongera sana ila umarioo una mwisho. Angalia jinsi ambavyo Dai anajaribu kujinasua inavyokuwa karaha. Mwanaume huwa tunachukua dogodogo tu. Una miaka 70 unachukua binti miaka 18. Hapo ndipo unajiona dume hasa si una miaka 18 unachukua mabibi kama Kasie unajina mjanja. Unabemendwa na kuzamishwa chumvini tu
Umesema mabibi kama nani
 
Watu hawajui tu. Tatizo hakuna aliyewahi kusema na ukisema unaitwa marioo etc, so inabidi kuwa siri kati ya wanawake hao na wanaume wao wa umri mdogo. kimya kimya
Asee bora niitwe marioo tu BTW CJAWAH' DATE NA MWANAMKE ALIYE FIWA NA MME WAKE O ALIE ACHWA HUWA NAANGALIA AMBAE HAJAOLEWA KABISA N SIJAWAHI KUJUTA. HAWA WANAWAKE HAWANAGA DRAMA; MKIKAA MKAONGEA BOUT' LIFE YAN UNAONA UNAVOTUMIA UBONGO WAKO IPASAVYO KWENYE KUWAZA MAMBO, yaani mwanamke hajanipita miaka kwanzia MITANO huwa sinaga feelings nae kabisa.
 
Hongera kwa kujitambau kwa hilo na kuliweka wazi, sidhani katika nyakati ya sasa ni kitu kigeni machoni pa watu sema ni vile makuzi ya wengi wetu yametokea kwa kuona mwanamme ndio anatakiwa kuwa mkubwa kwa umri kwenye mahusiano.

Tahadhari tu , usije kujisahau wanawake wanakikomo kwenye kujaliwa watoto.
 
Sentensi yako ya mwisho imenifurahisha.
Aaah bwana wee mapenzi ya kuvuana pichu tu,!kila mkikutana hapana. Angalau mpange vitu vya maana,muoneshane fursa,mchangiane mawazo,mtest hypothesis totauti tofauti,mchalenjiane katika kujiboresha kiuchumi,kijamii,mpaka mkichoka mgegedane mkijua kila mtu anajukumu la kumuinua mwenzake.
Siyo mie kila nikileta hela unaniomba wigi,handbag,sare ya harusi. Sitaki mimi.
 
Mapenzi raha take u date age mate wako, haya mambo ya kukaa na watu wazima Waikato wewe unawaza mwimbo Moyà wa Diamond meenzako anawaza mirathi ya mume wake
Daah Sky hapo 'anawaza kwenye mirathi' mbona umeenda mbali sana.Ina maana huyo partner atakuwa ni Shikamoo jazz?!!
 
Back
Top Bottom