Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,241
- Thread starter
- #41
Wambie. tukisema sisi ooooh kaben 10 ako, mara promoWatu wazima watamu sana.....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wambie. tukisema sisi ooooh kaben 10 ako, mara promoWatu wazima watamu sana.....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
You nailed it. ThanksHongera,as longer as it makes you happy. Nadhani hupendi dramas za kitoto toto,na unachukulia uhusiano kuwa kitu kinachopaswa kuwa na faida kwenu nyote.
Washamba hao wivu unawasumbua tu...Wambie. tukisema sisi ooooh kaben 10 ako, mara promo

zile drama za muda wa kazi...nyie full kuchat tu, mara emoji za maua etc, no way. We talk after work, meet for dinner, then go rest....very calm and professional and maturely.Hongera,as longer as it makes you happy. Nadhani hupendi dramas za kitoto toto,na unachukulia uhusiano kuwa kitu kinachopaswa kuwa na faida kwenu nyote.
Wamekomalia vibinti vya shule, na vikaka vyenye hela za urithi...eti ndo wanaita kutoka na rika lako.Washamba hao wivu unawasumbua tu...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli mkuu...mimi sipendi vibinti...mnafanya kanasema "unaniumiza!"...nakuumiza kwani hicho kidonda!Kumbe tupo wengi, Embe changa na embe lililo komaa lipi tamu? Ukipata jibu = ndio sababu yangu kudate na watu wazima
Wamekomalia vibinti vya shule, na vikaka vyenye hela za urithi...eti ndo wanaita kutoka na rika lako.
Najua ulitaka kuropoka...ila umekuta nshajibu hoja kuntu, umeamua kuchill.Oke okee......
Basi sawa
hapo chacha![]()
![]()
![]()
![]()
Binadamu wanajua kujudge sana...
Sasa ikiwa mwanaume anayo pesa akaamua kudate na mtu mzima naye watamuita kiben 10.
zile drama za muda wa kazi...nyie full kuchat tu, mara emoji za maua etc, no way. We talk after work, meet for dinner, then go rest....very calm and professional and maturely.
We kuwa muwazi tu unatafuta sugar mumy
Hahahah, wadogo kero , lakini wamama kwanza wanajua mapenzi sana kuliko vichangaKweli mkuu...mimi sipendi vibinti...mnafanya kanasema "unaniumiza!"...nakuumiza kwani hicho kidonda!
Nyinyi ndiyo mnaotukosea adabu mnafikiri wore ni ma auntie wa kugegedwaany way...kama ulimaanisha mwanamke mzee, mimi huwa nafumua tuuu hadi anasema "bebi kumbe mie bado kijana hiviii"!!
No. Nimesema ninachokipenda na pia mpunguze kuvunja moyo watu kama mimi wenye interest zao. Badilikeni kwa nyakatiWe kuwa muwazi tu unatafuta sugar mumy
Jamaa hajui sisi watu wazima ayo anayoyafanya leo tushayapitia na kuacha mbinu zote tunazijuahhhahaaahahahahhahahahhahahahahhahahahhahahahahhahahahahh
Walipo rudisha bao la 2, niliamua niondoke zangu aiseeeeNajua ulitaka kuropoka...ila umekuta nshajibu hoja kuntu, umeamua kuchill.