Napenda wanawake watu wazima

Napenda wanawake watu wazima

Hapana Sky, kwani mtu mzima mpaka awe na 50+?!!, kuanzia 45 huyo tayari mtu mzima.
Binafsi mimi mmojawapo wenye ugonjwa wa wamama ambao umri kidogo umeenda, wana utofauti katika mambo mengi, kuanzia anapodai kitu ulichomuahidi mpaka kitandani kwenye kula Chungwa, nna mama mwenye 49-50 Chubby ya maana ya kilatino, nakula vitu laini kama Maini sijutii kwa kweli kuwa na yeye.
Naunga mkono hoja ya mleta mada, vitu aged ndio vyenyewe.
mkuu ebu funguka kiundani
 
zile drama za muda wa kazi...nyie full kuchat tu, mara emoji za maua etc, no way. We talk after work, meet for dinner, then go rest....very calm and professional and maturely.
Dah hii comment imenfurahisha, but its true. Watu matured hata kumtongoza ni straightforward, pia kwenye kujadili jambo mnasaidiana experience.
I love them also.
Nipo na binti namzidi 8 years tukianza kujadili ni full mabishano mpaka nakereka. Watu wazima ni gold asee.
 
He he he
Watoto wa mwisho kuzaliwa(vitinda mimba) mna matatizo sana, full kupenda kubebishwa bebishwa na simple life.

Kwa mwanaume kushiriki zinaa na mtu aliyekuzidi umri ni sawa na kuwa na urafiki na shetani la ziwani wanaliita chunusi.

Yaani unanyonywa damu dogo.

Huu sio udhalilishaji wa akina mama kweli? Ebu jaribu kutumia lugha ya kistaarabu kidogo. Usishangae kukuta huyu dogo anatembea na ndugu yako wa kike mwenye umri mkubwa. Sasa sidhani kama ni sahihi kumpachika ndugu yako wa kike jina la shetani la ziwani aka chunusi.
 
Bila shaka wewe unapenda kula nguvu
za wanaume wenzio,namaanisha hawa watu wazima
unawakuta wako vizuri kiuchumi bila kujali
historia ya huo uchumi wao kuwa mzuri.

Ila sishangai coz wapo na mabinti
hawaangaiki na vijana waliomaliza chuo
wanawataka watu wazima wenye nyumba zao.
 
Bila shaka wewe unapenda kula nguvu
za wanaume wenzio,namaanisha hawa watu wazima
unawakuta wako vizuri kiuchumi bila kujali
historia ya huo uchumi wao kuwa mzuri.

Ila sishangai coz wapo na mabinti
hawaangaiki na vijana waliomaliza chuo
wanawataka watu wazima wenye nyumba zao.
Mabinti wanataka wazee na vijana wanataka wamama...yaani ni viceversa kila mtu hataki rika lake
 
niondokee hapa, kwa hiyo mimi ni mmama eti eeeeeh
na umetoa wapi ujasiri wa kuongea hivi lakini?
teh teh
Ohooo kumbe ni bado ni binti,haya unasoma chuo gan mrembo nije nikutembelee
 
Mabinti wanataka wazee na vijana wanataka wamama...yaani ni viceversa kila mtu hataki rika lake
Wazee kupenda mabinti inaeleweka
wanataka maungo yaliyo bana,
je na ninyi vijana mnataka maungo mapana?
Hili siliamini,bado naamini mnataka kupanda
magari msiyojua nani kanunua.
 
Back
Top Bottom