ho chi minh
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 32,904
- 163,076
Mterezo wengine Mario wengine mteremko wengine kubebwa yote majina yanafaa kutumika hapa.
Tunashukuru kwa Pongezi lkn kudate a pupil / Ben 10 ni sawa na kudate Bikra. .. mnasumbuaaBinafsi, huwa napenda sana kudate mwanamke mtu mzima. Nadhani ni kwasababau girlfriend wangu wa kwanza alikuwa mtu mzima, yaani alinizidi umri. They have this kind of taste to me, yaani sijui hata niielezeeje.
Huwa napenda vile ninavyoongea nae, ile feeling kwamba I'm reasoning with a matured person, ile heshima anayonipa ya kusikiliza mawazo yangu, na hata ule ushirikiano wa hapa na pale at the end of the day; kuna kuwa hakuna tofauti ya yeye kunizidi umri. I mean by numbers ni kweli anaweza kuwa over 5 or 6 etc, but between us, hakuna ile sense tena au ule mgawanyo kwamba flani ni mkubwa, bwana wangu ni mdogo, etc.
Na huwa tuna blend in vizuri sana. Hata kwenye kuachana, penzi hilo ndo huwa linaniuma zaidi na kubakisha memories nyingi kuliko la binti rika langu.
The most good part ya penzi hili; huwa ni yeye kama mtu mzima, wakati wa romance/bedroom, nampa vitu ambavyo ujanani alivimiss because of course mimi ni kijana, hivyo nampa penzi la ujana. Pia mimi kwangu anakuwa unique, kwasababu napata fursa ya kuonja mambo ya kiutu uzima.
I love these matured ladies!
[HASHTAG]#SpeakingMyMind[/HASHTAG]
Hatutaki pupils by the wayUkiamua kutembea na "wamama" say 40+yrs angalia pia chances kubwa utakuja kulala na wake za watu, najua kwa sasa hutaona tatizo lolote coz you're still young. Lakini be careful who you date, sio kila mwanamke anafaa kuchepushwa.
Enjoy while it lasts.
Bahati mbaya wapo wamama watu wazima na wana mahusiano na vijana wadogo.Hatutaki pupils by the way
Pepo la uzinzi kazini. Mungu tusaidie tushinde pepo hili maana linaangamiza hii jamii. Ghadhabu yako itakapotushukia tutakuwa kama vile Sodoma na Gomora. Moto utashuka kwenye miji yetu na kutuangamiza kwa ajili ya uovu tuliotenda juu ya nchi. Itakuwa kilio na kusaga meno kwa ajili ya kukuasi wewe na kufuata matakwa ya nafsi zetu. Ee Mungu turehemu.
Mapenzi raha take u date age mate wako, haya mambo ya kukaa na watu wazima Wakati wewe unawaza mwimbo wa Diamond mwenzako anawaza mirathi ya mume wake

sio lemutz hyu....le kokobanga mobimbaBinafsi, huwa napenda sana kudate mwanamke mtu mzima. Nadhani ni kwasababau girlfriend wangu wa kwanza alikuwa mtu mzima, yaani alinizidi umri. They have this kind of taste to me, yaani sijui hata niielezeeje.
Huwa napenda vile ninavyoongea nae, ile feeling kwamba I'm reasoning with a matured person, ile heshima anayonipa ya kusikiliza mawazo yangu, na hata ule ushirikiano wa hapa na pale at the end of the day; kuna kuwa hakuna tofauti ya yeye kunizidi umri. I mean by numbers ni kweli anaweza kuwa over 5 or 6 etc, but between us, hakuna ile sense tena au ule mgawanyo kwamba flani ni mkubwa, bwana wangu ni mdogo, etc.
Na huwa tuna blend in vizuri sana. Hata kwenye kuachana, penzi hilo ndo huwa linaniuma zaidi na kubakisha memories nyingi kuliko la binti rika langu.
The most good part ya penzi hili; huwa ni yeye kama mtu mzima, wakati wa romance/bedroom, nampa vitu ambavyo ujanani alivimiss because of course mimi ni kijana, hivyo nampa penzi la ujana. Pia mimi kwangu anakuwa unique, kwasababu napata fursa ya kuonja mambo ya kiutu uzima.
I love these matured ladies!
[HASHTAG]#SpeakingMyMind[/HASHTAG]
Yaani mawazo yako nikama yangu, halafu watu wazima mnasikilizana kwa kila kitu, kwenye papa hata ukitaka usiku wa manane anakupa tu, kuliko hawa mavimini atakwambia Mara tumbo, Mara sjiskii Mara niache nilale ntakupa kesho sasa tabu zote hizo zanini?Binafsi, huwa napenda sana kudate mwanamke mtu mzima. Nadhani ni kwasababau girlfriend wangu wa kwanza alikuwa mtu mzima, yaani alinizidi umri. They have this kind of taste to me, yaani sijui hata niielezeeje.
Huwa napenda vile ninavyoongea nae, ile feeling kwamba I'm reasoning with a matured person, ile heshima anayonipa ya kusikiliza mawazo yangu, na hata ule ushirikiano wa hapa na pale at the end of the day; kuna kuwa hakuna tofauti ya yeye kunizidi umri. I mean by numbers ni kweli anaweza kuwa over 5 or 6 etc, but between us, hakuna ile sense tena au ule mgawanyo kwamba flani ni mkubwa, bwana wangu ni mdogo, etc.
Na huwa tuna blend in vizuri sana. Hata kwenye kuachana, penzi hilo ndo huwa linaniuma zaidi na kubakisha memories nyingi kuliko la binti rika langu.
The most good part ya penzi hili; huwa ni yeye kama mtu mzima, wakati wa romance/bedroom, nampa vitu ambavyo ujanani alivimiss because of course mimi ni kijana, hivyo nampa penzi la ujana. Pia mimi kwangu anakuwa unique, kwasababu napata fursa ya kuonja mambo ya kiutu uzima.
I love these matured ladies!
[HASHTAG]#SpeakingMyMind[/HASHTAG]
DuuhSafi sana mwanamke mtu mzima anajua ,hata wakati wa kupiz anakubana matako vizuri alafu zikiingia zote anakushukuru na kunyanyuka taratibu kwenda kuoga.