Napenda wanawake walionizidi umri

Napenda wanawake walionizidi umri

kwel2

Senior Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
109
Reaction score
47
Wadau,

Sijui nina tatizo la kisaikolojia? Hebu nisaidieni maana nimejikuta napenda na kutongoza wanawake ambao wamenizidi umri tena sana kitendo ambacho kinawashangaza pindi niwafuatapo ingawa nafanikiwa. Yaani nimejikuta kila mwanamke ninayekuwa naye basi kanizidi miaka si kati ya 6 au mitano ili hali mimi nina miaka 25.
 
Kwahiyo dogo dogo wenzio hawakuvutii hata kidogo? wewe na mashuga mami tuuu! au unataka kulelewa?
 
hakuna ubaya kama mmekubaliana hop na wao wanajua kua we umdogo kwao so hadi wakakubali jua agreement tayari no force, endelea tu ila uswafate kwa lengo la kuelewa maana hiyo ni new topic
 
Kama uko Dar nenda IDC clinic (iko btwn Traffic hq na central Police) kuna mshauri nasaha mzuri wa hasa mambo yenu vijana.
 
Sidhani kama kuna ubaya! ungekuwa unaowa ndo ingekuwa balaa ila kwa mechi za mchangana tu sawa,
 
Dah,
ninachoamini ni kwamba we una akili timamu. Kama ni hvyo, unajua unachokifuata kwa hao akina dada. Pengine we ufunguke kwanza then wana JF watumie sababu zako kukushauri.
Kuwa muwaz kaka, madocta wanakusikiliza.
 
Jiandae kuwa na ukomavu wa akili..maana watakupenda mwanzoni ila hawakawii kukutreat kama mtoto.
 
Ngoja nimuite mwanamalundi aje kukushauri
 
me hata sioni ubaya hapo, mtu ukiwa na pesa uzee unakuogopa... enjoy mkuu na 2013
 
Mie mshamba!! Nimeangukiwa na tatiko kaa hilo! Kwanza jana kaniforce agreement y kukabidhiwa shahada ya kulea watoto 2 n mmoja u form 2?
 
kuna mmoja humu JF anapenda wenye mimba!nani afadhali kati yenu?
 
Back
Top Bottom