Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Mkuu, Wadada wanawahi kukua sana kiakili na ni wajanja sana, so ukiwa na mdada aliekuzidi umri, unahitaji uwe extra smart, vinginevyo in long run utadharaulika tu katika maamuzi yako. na kumuongoza nayo itakuwia ngumu maana atakua anakosoa sana mawazo yako (say ya kitoto/kiujana) na itakupelekea kukosa konfo polepole.
Pia wadada wanakua haraka sana kimwili so ukiwa nae aliekupita umri kuna possibility kubwa sana ukubwani ukaja kuwa mtu wa totoz sana sababu atakuwa amezeeka kabla yako na hatakuwa tena na flavours zako.
otherwise ni afya kuwa na mdada uliempita miaka 2 to 5 , other things being equal.
Pia wadada wanakua haraka sana kimwili so ukiwa nae aliekupita umri kuna possibility kubwa sana ukubwani ukaja kuwa mtu wa totoz sana sababu atakuwa amezeeka kabla yako na hatakuwa tena na flavours zako.
otherwise ni afya kuwa na mdada uliempita miaka 2 to 5 , other things being equal.