Napenda wanawake wa aina hii!!

Napenda wanawake wa aina hii!!

Naunga mkono hoja ,namkumbuka rose wangu alikuwa analowanisha shuka lote ,mpaka nikaamua kununua naironi,japo alikuwa ananizidi 12 year but she was Sweet
 
Huu ni zaidi wosia wa baba.
Kweli mkuu sisi ni vijana tunaakili zakimakuzi sana bado hatujawa Na akili zile zakung'amua mambo vizuri japo twajiona tumekua ila tukumbushane baadae nyuzi hizi hatari sana Kwa afya ya baadae
 
Kweli mkuu sisi ni vijana tunaakili zakimakuzi sana bado hatujawa Na akili zile zakung'amua mambo vizuri japo twajiona tumekua ila tukumbushane baadae nyuzi hizi hatari sana Kwa afya ya baadae
Kuna ndugu yangu mmoja alikosa nafasi nyeti kwa ajili ya facebook groups anazokoment picha zake. Notification ikafika kwa mabosi zake ambao wanafanya kazi naye, sasa huu ushauri ni zaidi ya wosia kwake.
 
Kuna ndugu yangu mmoja alikosa nafasi nyeti kwa ajili ya facebook groups anazokoment picha zake. Notification ikafika kwa mabosi zake ambao wanafanya kazi naye, sasa huu ushauri ni zaidi ya wosia kwake.
Mimi huyu jamaa anajiita jokeri kanifunza sana binadamu hatujajamilika ila ni vizuri kuyastiri mapungufu yetu haswa vinywa vyetu
 
Naunga mkono hoja ,namkumbuka rose wangu alikuwa analowanisha shuka lote ,mpaka nikaamua kununua naironi,japo alikuwa ananizidi 12 year but she was Sweet
ha ha ha wa wapi huyo mkuu
 
====
kwako ni utumbo kwangu ni hisia na ukweli. Kuna mambo ambayo huwa unaweka pia naona ni utumbo ndio maisha.....
Sina akili mgando kama yako mkuu,,,inaonekana hata uwezo wako wa kufikiri ni mdogo,,haiwezekani mtu uliye na uwezo wa kufikiri uandike utumbo kama ule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom