kenge 10
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,445
- 2,347
Masharti ya nini wakati unalipiaMr. Kenge ntakutafta, vipi hawa sio wa masharti.. Maana ile kwangu ni starehe, kwahyo uhuru muhimu kupatkana
Masharti ya nini wakati unalipiaMr. Kenge ntakutafta, vipi hawa sio wa masharti.. Maana ile kwangu ni starehe, kwahyo uhuru muhimu kupatkana
si useme tu ukweli kama unapenda kulelewa
Umeona eeeeeeeee,sijui wana nn hawa wadada Wakubwa Wakubwa.Ila ni watamuu!
mwanamke mtu mzima ni msikivu sana kwa mwenza wake na pia hana usumbufu kama walivo mabinti hawa wa mwendo kasi.
atoto miss chagga rubii Evelyn Salt HEBU MSAIDIENI SWALI LAKE, ANAULIZA NYIE HUWA MNAVUTIWA NA NINI KUTOKA KWA MWANAUME?
SwadaktaaPesaa
Nyie hata ukiolewa na uliemzid sio mbaya mrad akutunzeNa kwa wasichana je..?? Tupe kanuni yake...
well saidTatizo lako sio umri tatizo unapenda wanawake ambao tayari wanajiweza kimaisha sababu unaonekana kabisa huna hela za kuwapata vijana/ masista do wanaohitaji kuhudumiwa.
Yani Mulemule as long as na we unapiga kaz hata kama sio ya mshahara mkubwa kihivoooWanawake wanaokuzidi umri ki ukweli ni watamu sanaa like aged (28 - 40) it depends wengine not more than 45....... Daaah
Alaf upate somewhat light / fair skinned aliyejaa jaa....Daah wana raha sanaa acheni tu, hawasumbuagi kabsa (ni wewe tu uwe unapiga show ya uhakika, utahudumiwa vizuri utashangaa na roho yako).
mmmhhh!!!!,ni hatari ya mwaka,watu hawamwogopi MUNGU kabisa.Hata vibibi anabeba
Duh!!!,haya bhana!,kumbe wako wemgi wenye tabia hiyo.Wanawake wanaokuzidi umri ki ukweli ni watamu sanaa like aged (28 - 40) it depends wengine not more than 45....... Daaah
Alaf upate somewhat light / fair skinned aliyejaa jaa....Daah wana raha sanaa acheni tu, hawasumbuagi kabsa (ni wewe tu uwe unapiga show ya uhakika, utahudumiwa vizuri utashangaa na roho yako).
Kwa hiyo wewe kupandwa na mtoto mdogo huoni aibu kisa ana hela???Una hela/ kazi??? Kama zpo hainaga tabu hapo umri ni namba tu,,,, ila watot watakuita KAKA sijui!!!, na kama huna kazi / hela yaan unalelewa ata mi ngekushangaa na umarioo wako huko kwenu sijui ungetafsiriwaje?
Sijui nikuchagulie tusi gani!!! nimemjibu km alivoeleza,,, anyway yaishie hapo.Kwa hiyo wewe kupandwa na mtoto mdogo huoni aibu kisa ana hela???