Ndugu WanaJF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na nina elimu ya kidato cha nne. Tangu nizaliwe huwa naifurahia sana kazi ya uaskari polisi. Kama kutakuwa na mtu anayeweza kunisaidia nikaipata hyo nafasi naomba msaada kwake, pia anaweza ku-PM.
Sifa nilizonazo;
- Elimu fom 4 point 29 ya mwaka 2013
- Urefu 172
Nawasilisha kwenu..
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na nina elimu ya kidato cha nne. Tangu nizaliwe huwa naifurahia sana kazi ya uaskari polisi. Kama kutakuwa na mtu anayeweza kunisaidia nikaipata hyo nafasi naomba msaada kwake, pia anaweza ku-PM.
Sifa nilizonazo;
- Elimu fom 4 point 29 ya mwaka 2013
- Urefu 172
Nawasilisha kwenu..