ID ya Gogle ilituletea thread humu na mtu alijitambulisha kua yeye sio Gogle tunayemjua ila ni mjomba wake na alituletea taarifa ya msiba wa Gogle. Mimi niliuliza umejuaje password yake? Nikajibiwa ukitumia application ya jf haina haja yakuingiza password kila unapoingia, kitu ambacho ni kweli ata mimi natumia app kwaio mtu akishika simu yngu anaweza kuingia jf kwa ID yngu
ID ya Gogle ilituletea thread humu na mtu alijitambulisha kua yeye sio Gogle tunayemjua ila ni mjomba wake na alituletea taarifa ya msiba wa Gogle. Mimi niliuliza umejuaje password yake? Nikajibiwa ukitumia application ya jf haina haja yakuingiza password kila unapoingia, kitu ambacho ni kweli ata mimi natumia app kwaio mtu akishika simu yngu anaweza kuingia jf kwa ID yngu
Ni kweliii au ye ndio kajifanya kuandika maana ni mtundu gogle kama ni kwelii tutamiss vituko vyake maana ye kila siku katahiriwa
Mkuu hili linawezekana tuu kama Mhusika haku log out.
Ni kweliii au ye ndio kajifanya kuandika maana ni mtundu gogle kama ni kwelii tutamiss vituko vyake maana ye kila siku katahiriwa
Me sijui kama nikweli Dinazarde ila nasema kilichoandikwa na "mjomba wake", kama yuko hai Mungu ampe maisha marefu kama ni kweli amekufa Mungu amlaze mahala pema popeni....
Ni kwel gogle angekuwepo angekua ashatoa thread nyingi sana
Kama ni kweli huyo mjomba wake hayuko sawa kichwani,kuendelea kutumia id ya mtu unaye dai amekufa ni kuleta utata.
Alitakiwa kufungua Id yake na kutoa taarifa si kuendelea kuitumia.
Kwangu mimi bado napata mashaka na hiyo taarifa.
Na alishawah kusema ana Id mia