..napenda chakula vya msibani kuliko cha home..!!

..napenda chakula vya msibani kuliko cha home..!!

nimecheka kweli, ni ladha ya chakula kilichopikwa kwa kuni, hata mi nilishajiuliza mbona huwa vyakula vya kwenye mikusanyiko huwa vinanivutia hasa vijijini misibani na harusini,sasa yeye huyu hukutana navyo misibani kwani harusini wanapika carterers.siku mojamoja wapikie jiko la mkaa lenye kutoa moshi hapo home.
 
Sikujua kuwa kuna PEPO LA CHAKULA CHA MSIBANI pia...Nadhani ndiyo linalokusibu
 
"....mke wangu wa ndoa anajua sana kupika bro,hilo sipingi hata kidogo ila ajabu nafurahia zaidi msosi wa kwenye misiba,ambao kikawaida hauna kiwango,chukuchuku na huandaliwa katika mazingira sio salama sana hasa misiba ya uswazini kwetu,mara nyingi ni wali/ugali na harage/nyama lakini ndio naupenda balaa,nimejaribu kujikausha kama hili sio tatizo lakini imebidi niseme tu kwani nathani hali hii sio ya kawaida,ukizingatia nina heshima zangu,kazi nzuri na familia yangu iko safii kwani kipato si haba,msiba ukitokea popote nimo na kabla hata ya kufika nawaza msosi wa huko tu....."
Maelezo ya rafiki yangu,Baba Cornel wakati tukipata kinywaji jana usiku,Forodhani.Tanga!Tusaidiane wadau,hili ni tatizo gani?hataki hali hii kabisa

Naturally, chakula kilichopikwa kwa kutumia moto wa asili (kuni) ni kitamu na kina ladha kuzidi kile kilichopikwa kwa kutumia moto wa umeme au gesi, get me?
 
Naturally, chakula kilichopikwa kwa kutumia moto wa asili (kuni) ni kitamu na kina ladha kuzidi kile kilichopikwa kwa kutumia moto wa umeme au gesi, get me?
ok ok,never thought of it,yawezekana!thankx
 
nimecheka kweli, ni ladha ya chakula kilichopikwa kwa kuni, hata mi nilishajiuliza mbona huwa vyakula vya kwenye mikusanyiko huwa vinanivutia hasa vijijini misibani na harusini,sasa yeye huyu hukutana navyo misibani kwani harusini wanapika carterers.siku mojamoja wapikie jiko la mkaa lenye kutoa moshi hapo home.
hahahaa,kumbe nawe unashida kama hii?usione sooo,funguka!pamoja sana
 
"....mke wangu wa ndoa anajua sana kupika bro,hilo sipingi hata kidogo ila ajabu nafurahia zaidi msosi wa kwenye misiba,ambao kikawaida hauna kiwango,chukuchuku na huandaliwa katika mazingira sio salama sana hasa misiba ya uswazini kwetu,mara nyingi ni wali/ugali na harage/nyama lakini ndio naupenda balaa,nimejaribu kujikausha kama hili sio tatizo lakini imebidi niseme tu kwani nathani hali hii sio ya kawaida,ukizingatia nina heshima zangu,kazi nzuri na familia yangu iko safii kwani kipato si haba,msiba ukitokea popote nimo na kabla hata ya kufika nawaza msosi wa huko tu....."
Maelezo ya rafiki yangu,Baba Cornel wakati tukipata kinywaji jana usiku,Forodhani.Tanga!Tusaidiane wadau,hili ni tatizo gani?hataki hali hii kabisa

Haya ndio matatizo ya kuzaliwa mtaani!
Yaani zile harufu za ubwabwa uswahilini umezinusa toka mchanga!
Sasa zimesha nasa kichwani!
Hapo ni lazima ukamuone babu muongo wa loliondo akupige na vikombe kazaa!
 
ok ok,never thought of it,yawezekana!thankx

Ulishawahi kusikia harufu ya maharage yanayopikwa kwa jiko la mkaa? Utatamani ukayaipue uyaonje. Linganisha na harufu ya jikoni kwako ambamo huwa kila siku unasikia yanapikwa,.. harufu na ladha ni tofauti kabisa!
 
avatar yako kwanza mi hoi...! ..tuache hilo, mmh..msibani kweli appetite inakuja?
 
Mke wake ameziki kukaangiza mno hadi msosi unakosa ladha;
 
Kama vp nipe namba yako ikitokea misiba niwe nakushtua!

Afu kuna mitaa nimepita kuna msiba vipi nikupe location y hiyo show?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Naturally, chakula kilichopikwa kwa kutumia moto wa asili (kuni) ni kitamu na kina ladha kuzidi kile kilichopikwa kwa kutumia moto wa umeme au gesi, get me?

Unajua sana kuhusu mapishi wewe eeh?
 
Mungu wangu, mbavu sina yaani JF ni burudani tupu nimecheka mpaka natoka machozi.
 
Mbona kazi jamani, inamaana huko kwenu kila siku kuna misiba..... mabwaku lol!
"....mke wangu wa ndoa
anajua sana kupika bro,hilo sipingi hata kidogo ila ajabu nafurahia
zaidi msosi wa kwenye misiba,ambao kikawaida hauna kiwango,chukuchuku na
huandaliwa katika mazingira sio salama sana hasa misiba ya uswazini
kwetu,mara nyingi ni wali/ugali na harage/nyama lakini ndio naupenda
balaa,nimejaribu kujikausha kama hili sio tatizo lakini imebidi niseme
tu kwani nathani hali hii sio ya kawaida,ukizingatia nina heshima
zangu,kazi nzuri na familia yangu iko safii kwani kipato si haba,msiba
ukitokea popote nimo na kabla hata ya kufika nawaza msosi wa huko
tu....."
Maelezo ya rafiki yangu,Baba Cornel wakati tukipata kinywaji jana
usiku,Forodhani.Tanga!Tusaidiane wadau,hili ni tatizo gani?hataki hali
hii kabisa
 
Umenishtua nikadhani wewe, kumbe mwingine.
Au ni wewe kaka, si useme tu.
"....mke wangu wa ndoa anajua sana kupika bro,hilo sipingi hata kidogo ila ajabu nafurahia zaidi msosi wa kwenye misiba,ambao kikawaida hauna kiwango,chukuchuku na huandaliwa katika mazingira sio salama sana hasa misiba ya uswazini kwetu,mara nyingi ni wali/ugali na harage/nyama lakini ndio naupenda balaa,nimejaribu kujikausha kama hili sio tatizo lakini imebidi niseme tu kwani nathani hali hii sio ya kawaida,ukizingatia nina heshima zangu,kazi nzuri na familia yangu iko safii kwani kipato si haba,msiba ukitokea popote nimo na kabla hata ya kufika nawaza msosi wa huko tu....."
Maelezo ya rafiki yangu,Baba Cornel wakati tukipata kinywaji jana usiku,Forodhani.Tanga!Tusaidiane wadau,hili ni tatizo gani?hataki hali hii kabisa
 
Back
Top Bottom