..napenda chakula vya msibani kuliko cha home..!!

..napenda chakula vya msibani kuliko cha home..!!

fabinyo

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
3,043
Reaction score
2,245
"....mke wangu wa ndoa anajua sana kupika bro,hilo sipingi hata kidogo ila ajabu nafurahia zaidi msosi wa kwenye misiba,ambao kikawaida hauna kiwango,chukuchuku na huandaliwa katika mazingira sio salama sana hasa misiba ya uswazini kwetu,mara nyingi ni wali/ugali na harage/nyama lakini ndio naupenda balaa,nimejaribu kujikausha kama hili sio tatizo lakini imebidi niseme tu kwani nathani hali hii sio ya kawaida,ukizingatia nina heshima zangu,kazi nzuri na familia yangu iko safii kwani kipato si haba,msiba ukitokea popote nimo na kabla hata ya kufika nawaza msosi wa huko tu....."
Maelezo ya rafiki yangu,Baba Cornel wakati tukipata kinywaji jana usiku,Forodhani.Tanga!Tusaidiane wadau,hili ni tatizo gani?hataki hali hii kabisa
 
mmmmmmmmmmmmmm haya ss majanga plus
 
Mmmh...... Ngoja nikacheke kwanza pembeni, nitarudi kwa ushauri
 
utakuwa na kapepo ka msiba au mauti, iweje upende vya msibani wakati wengine huwa wanaogopa............??
 
"....mke wangu wa ndoa anajua sana kupika bro,hilo sipingi hata kidogo ila ajabu nafurahia zaidi msosi wa kwenye misiba,ambao kikawaida hauna kiwango,chukuchuku na huandaliwa katika mazingira sio salama sana hasa misiba ya uswazini kwetu,mara nyingi ni wali/ugali na harage/nyama lakini ndio naupenda balaa,nimejaribu kujikausha kama hili sio tatizo lakini imebidi niseme tu kwani nathani hali hii sio ya kawaida,ukizingatia nina heshima zangu,kazi nzuri na familia yangu iko safii kwani kipato si haba,msiba ukitokea popote nimo na kabla hata ya kufika nawaza msosi wa huko tu....."
Maelezo ya rafiki yangu,Baba Cornel wakati tukipata kinywaji jana usiku,Forodhani.Tanga!Tusaidiane wadau,hili ni tatizo gani?hataki hali hii kabisa

Hakika siku zote ukweli hukuweka huru, ila mdau hii yako ni kali, mimi nahisi izraeli anakunyemelea, au unaonaje. ushauri mwingine:mjiunge wote au muunganishe shemu(wife wako) na vikundi vya kulia na kupika kwenye misiba kwani hiyo itakuwa ndo suruhu ya hamu yako ya kupenda mpunga wa msibani kuliko home.kwani kila jioni atakuwa anarudi na mazaga ya kwenye "funneral"
 
Kwa hiyo Jamaa huwa anaombea watu wafe, ili misiba iwe mingi ili awe anakwenda kula misibani?

Something must be wrong, very wrong!!!
 
duh!wadau hamna hata aliyetoa ushauri zaidi ya kutaharuki,hili kweli tatizo
 
Kheri hata utafute hao wapishi wakupikie la sivo utakua unaomba Watu wafe tu. Na siku utokufa ww inabidi wakuwekee ugali wako kwenye kaburi lako walau update wa mwisho mwisho
 
Hakika siku zote ukweli hukuweka huru, ila mdau hii yako ni kali, mimi nahisi izraeli anakunyemelea, au unaonaje. ushauri mwingine:mjiunge wote au muunganishe shemu(wife wako) na vikundi vya kulia na kupika kwenye misiba kwani hiyo itakuwa ndo suruhu ya hamu yako ya kupenda mpunga wa msibani kuliko home.kwani kila jioni atakuwa anarudi na mazaga ya kwenye "funneral"
duh,mjomba hapo sasa unaua kabisa
 
Back
Top Bottom