..napenda chakula vya msibani kuliko cha home..!!

..napenda chakula vya msibani kuliko cha home..!!

Daaah...ninavyoogopa chakula cha msibani!!!!!!kweli binadamu wote si sawa!!
 
Miiii mwenyewe nafkiria vyakula vya kwetu tanzania tooo yaani vinanukia na ladha tofauti ya kupika kwenye makuka. Miii nadhani mkaa.
 
Unajua sana kuhusu mapishi wewe eeh?

Nimekua nikila chakula cha asili, nimezaliwa kijijini, nikakulia kijijini, hivyo najua kwa kiwango cha kutosha kabisa, tofauti ya ladha baina ya chakula cha mjini na cha kijijini. Kijijini mahitaji magumu, lakini chakula chao kitamu!
 
naona haka ni ka addiction kwa watu wengi maana hata mdogo wangu nae ame-admit kuwa menu ya msibani ni tamu !! hapa something must be wrong somewhere...:help:
 
naona haka ni ka addiction kwa watu wengi maana hata mdogo wangu nae ame-admit kuwa menu ya msibani ni tamu !! hapa something must be wrong somewhere...:help:
kumbe wapo wengi ehh!!
 
Nimekua nikila chakula cha asili, nimezaliwa kijijini, nikakulia kijijini, hivyo najua kwa kiwango cha kutosha kabisa, tofauti ya ladha baina ya chakula cha mjini na cha kijijini. Kijijini mahitaji magumu, lakini chakula chao kitamu!
kweli kabisa,naunga mkono hoja
 
Miiii mwenyewe nafkiria vyakula vya kwetu tanzania tooo yaani vinanukia na ladha tofauti ya kupika kwenye makuka. Miii nadhani mkaa.
pole sana ndugu!!au tuwe tunakutumia kuni huko?siku moja moja unapika kwa kuni
 
Back
Top Bottom