Napenda aina hii ya mahusiano (no strings attached)

Napenda aina hii ya mahusiano (no strings attached)

Na ukiona unapenda mahusiano ya hivyo fanya utafute anayefanana na wewe kimtazamo....ukitafuta mwenzangu na mie utaishia kukasirika kila siku
 
mmmhhh tabia chafu hiyo thats means u wil neva stay with ur partner on da same house?ndio maana kuna ongezeko la senior bachelors,hata kuoa itakuwa shida au ndio nyie msiotulia kwenye ndoa zenu unamuona mkeo kero
 
Namtafuta wa kuanzisha naye mahusiano ya namna hii.
 
Inakuwaga okay kama both parties agree from the beggining...
Veryyyyy painful kama utaexpect 'going concern' na partner wako wakati ye alikuwa anapita tu na hakukuambia from the start...
 
And frm my point of view,WOMEN js cant handle it,ts hard to do it na mtu usiempenda,u would always wish for more...
 
Napenda aina hii ya mahusiano ambayo ni ya muda na haina masharti (A relationship that has no conditions or contractual requirements), ambapo wapenzi wawili wanakutana kwa muda na kuridhishana nafsi zao.

(Where two people decide to engage in a sexual relationship that has no ties or expectation with regards to finances, exclusivity or romance. Literally, there are no strings binding the two together)

Baadhi ya Faida za mahusiano yasiyo na mkataba

1. Makubaliano ni kulipa, kupata huduma na kusepa

2. Hakuna bla bla na kupotezeana muda

3. Hakuna kupandishana presha, sukari au magonjwa ya moyo kutokana na wivu

4. Hakuna uwajibikaji wa nyumba ndogo

5. Hakuna kupigana mizinga

6. Hakuna risk ya magonjwa ya ngono kwa sababu hakuna kuzoeana na kufikia uamuzi wa kuacha kutumia zana

Mwana JF, kuna faida nyingi ambazo sijazitaja na yeyote anaweza kuongeza. Au kwa wale mnaopinga aina hii ya mahusiano mnasemaje?

Faida zipo nyingi ......pia mwenzako akiwa bisexual itabidi na ww uunge bogi......posibilities za maambukiz ni 100% with out a doubt coz no one has a right over the other So plis think wisely & Widely before you engage in such a treason
 
Matamu sana haya hasa kwa ambao hawafikishwi kilele cha mafanikio!
 
Mmh me haya mambo sijui ndo kuwa friends with benefit siyawezi kabisa. Kulala na mtu ambaye sipo attached naye emotionally mbona ntajilazimisha kwenye hakuna. Girls wengi kinatushinda hiki kitu coz tukilala na mtu tunakuwa km tumeji-attach nao, so tutaanza kufatiliana tu, mara texts kibao, wivu etc

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mmmhhh tabia chafu hiyo thats means u wil neva stay with ur partner on da same house?ndio maana kuna ongezeko la senior bachelors,hata kuoa itakuwa shida au ndio nyie msiotulia kwenye ndoa zenu unamuona mkeo kero
Hii ni solution ya kushamiri kwa nyumba ndogo ambazo zinaua ndoa lin
 
Last edited by a moderator:
Inakuwaga okay kama both parties agree from the beggining...
Veryyyyy painful kama utaexpect 'going concern' na partner wako wakati ye alikuwa anapita tu na hakukuambia from the start...
Of course lazima akuambie from the beginning, kwamba nature ya mahusiano yenu itakuwa "no strings attached" badiebey
 
Last edited by a moderator:
Na mahusiano yako na Mungu hapo unayaweka wapi?

Kwa maisha ya sasa watu huwa wanasahau habari za kuna Mungu mpaka wapatwe na shida, hilo swali huyu jamaa hawezi jibu sababu yupo kwa ajili ya starehe tu.
 
Back
Top Bottom