msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,886
Napenda aina hii ya mahusiano ambayo ni ya muda na haina masharti (A relationship that has no conditions or contractual requirements), ambapo wapenzi wawili wanakutana kwa muda na kuridhishana nafsi zao. (Where two people decide to engage in a sexual relationship that has no ties or expectation with regards to finances, exclusivity or romance. Literally, there are no strings binding the two together)
Baadhi ya Faida za mahusiano yasiyo na mkataba
1. Makubaliano ni kulipa, kupata huduma na kusepa
2. Hakuna bla bla na kupotezeana muda
3. Hakuna kupandishana presha, sukari au magonjwa ya moyo kutokana na wivu
4. Hakuna uwajibikaji wa nyumba ndogo
5. Hakuna kupigana mizinga
6. Hakuna risk ya magonjwa ya ngono kwa sababu hakuna kuzoeana na kufikia uamuzi wa kuacha kutumia zana
Mwana JF, kuna faida nyingi ambazo sijazitaja na yeyote anaweza kuongeza. Au kwa wale mnaopinga aina hii ya mahusiano mnasemaje?
Hata mimi nayakibali sana mapenzi ya hivi!kwa nijuavyo mimi sio kwamba wanawake wa hivi wanajiuza Bali unakuta mmpendana lakini kila mtu ana mtu wake tayari so kinachotokea hapa mnakuwa mnakutana pale ambapo kila mmoja anamhitaji mwenzie Mfano mwanaume ndo anamhitaji mwanamke so anacall anakuja mahali anampa shughuli then ktk kuondoka ndo unafungua wallet unampoza hata na buku 20 au zaid au hata humpi chochote lkn mwenyewe anakuwa ameridhika!na huwa hakuna msg msg za kusumbuana oooh baby sijui nn!me mwenyewe nakubali sn hizi mapenzi za design hii!