Napenda aina hii ya mahusiano (no strings attached)

Napenda aina hii ya mahusiano (no strings attached)

bombom

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2013
Posts
614
Reaction score
228
Napenda aina hii ya mahusiano ambayo ni ya muda na haina masharti (A relationship that has no conditions or contractual requirements), ambapo wapenzi wawili wanakutana kwa muda na kuridhishana nafsi zao.

(Where two people decide to engage in a sexual relationship that has no ties or expectation with regards to finances, exclusivity or romance. Literally, there are no strings binding the two together)

Baadhi ya Faida za mahusiano yasiyo na mkataba

1. Makubaliano ni kulipa, kupata huduma na kusepa

2. Hakuna bla bla na kupotezeana muda

3. Hakuna kupandishana presha, sukari au magonjwa ya moyo kutokana na wivu

4. Hakuna uwajibikaji wa nyumba ndogo

5. Hakuna kupigana mizinga

6. Hakuna risk ya magonjwa ya ngono kwa sababu hakuna kuzoeana na kufikia uamuzi wa kuacha kutumia zana

Mwana JF, kuna faida nyingi ambazo sijazitaja na yeyote anaweza kuongeza. Au kwa wale mnaopinga aina hii ya mahusiano mnasemaje?
 
Ok kwa hiyo kumbe wanaojiuza wateja wao ni wanaume?
 
Ok kwa hiyo kumbe wanaojiuza wateja wao ni wanaume?
Siyo lazima awe anajiuza.... logic hapa ni kwamba ni mtu wa kawaida ambaye ana sexual desire anakutana na mwingine, wanaingia kwenye mahusiano YA MUDA lakini baada ya hapo kila mmoja anakwenda kivyake. Wanaweza kuitana (ku resume) tena mahusiano inapobidi, lakini kwa mtindo huohuo.
 
Hivi na wanaume huwa wanajiuza au wananunua papuchi????
 
Siyo lazima awe anajiuza.... logic hapa ni kwamba ni mtu wa kawaida ambaye ana sexual desire anakutana na mwingine, wanaingia kwenye mahusiano YA MUDA lakini baada ya hapo kila mmoja anakwenda kivyake. Wanaweza kuitana (ku resume) tena mahusiano inapobidi, lakini kwa mtindo huohuo.

Aaah mie nahisi moja ndo huwa anakuwa sexual desire mwengine yupo ki hela zaidi.......
 
Aaah mie nahisi moja ndo huwa anakuwa sexual desire mwengine yupo ki hela zaidi.......
Of course anaanza mmoja, na siyo lazima awe mwanaume..... anaweza kuwa mwanamke pia (suger mummy).
 
ICHANA mbona waguna??? we ukitaka tu fika dau mie nipo.....

hapana mkuu short time za mikataba sipendi mimi kama kupe nang'ang'ania tu kuanzia asubuh hadi jioni ,7days,mwaka ......

kukutana kwa mkataba bla kumiliki hapana mkuu
 
Napenda aina hii ya mahusiano ambayo ni ya muda na haina masharti (A relationship that has no conditions or contractual requirements), ambapo wapenzi wawili wanakutana kwa muda na kuridhishana nafsi zao. (Where two people decide to engage in a sexual relationship that has no ties or expectation with regards to finances, exclusivity or romance. Literally, there are no strings binding the two together)
Baadhi ya Faida za mahusiano yasiyo na mkataba

1. Makubaliano ni kulipa, kupata huduma na kusepa
2. Hakuna bla bla na kupotezeana muda
3. Hakuna kupandishana presha, sukari au magonjwa ya moyo kutokana na wivu
4. Hakuna uwajibikaji wa nyumba ndogo
5. Hakuna kupigana mizinga
6. Hakuna risk ya magonjwa ya ngono kwa sababu hakuna kuzoeana na kufikia uamuzi wa kuacha kutumia zana
Mwana JF, kuna faida nyingi ambazo sijazitaja na yeyote anaweza kuongeza. Au kwa wale mnaopinga aina hii ya mahusiano mnasemaje?
hivi hapo umetaja FAIDA au kaushuzi fulani hivi.............

watu wanapambana kurekebisha MAADILI yanayopotea, wewe unapambana kuyaharibu
 
Rafiki yangu alikuwa na mahusiano kama haya, ukianza unanogewa. Ni addictive, ukija kuoa utaona mkeo ni mzigo
 
Napenda aina hii ya mahusiano ambayo ni ya muda na haina masharti (A relationship that has no conditions or contractual requirements), ambapo wapenzi wawili wanakutana kwa muda na kuridhishana nafsi zao. (Where two people decide to engage in a sexual relationship that has no ties or expectation with regards to finances, exclusivity or romance. Literally, there are no strings binding the two together)
Baadhi ya Faida za mahusiano yasiyo na mkataba

1. Makubaliano ni kulipa, kupata huduma na kusepa
2. Hakuna bla bla na kupotezeana muda
3. Hakuna kupandishana presha, sukari au magonjwa ya moyo kutokana na wivu
4. Hakuna uwajibikaji wa nyumba ndogo
5. Hakuna kupigana mizinga
6. Hakuna risk ya magonjwa ya ngono kwa sababu hakuna kuzoeana na kufikia uamuzi wa kuacha kutumia zana
Mwana JF, kuna faida nyingi ambazo sijazitaja na yeyote anaweza kuongeza. Au kwa wale mnaopinga aina hii ya mahusiano mnasemaje?


Na mahusiano yako na Mungu hapo unayaweka wapi?
 
Haya mahusiano yanavyorahisishwa!
Kazi ipo!!!
 
Back
Top Bottom