Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,289
- 222,349
Waziri wa Habari Mh Nape Nnauye amesema , Serikali inaangalia uwezekano wa kushawishi Makampuni yanayotengeza Simu , au mawakala wao ili wawe wanawakopesha simu wananchi na kuwakata fedha kidogo kidogo .
Amesema inakuwa vigumu kwa Mtanzania Mnyonge kulipa sh. laki 3 taslimu ili kugharamia manunuzi ya smartphone , hivyo mpango huu utawawezesha wengi kumiliki simu hizo .
Bali sisi wengine tulidhani labda serikali ingekuja na Mpango wa kuwawezesha wananchi kwenye Pembejeo au mitaji ya biashara ili waweze kujikomboa kiuchumi , lakini badala yake inataka kuwawezesha kwenye Smartphone ambazo wakishakuwa nazo haijulikani ni nani atakayewanunulia vocha ili waweze kuingia mitandaoni .
Nakulilia Tanzania .
Amesema inakuwa vigumu kwa Mtanzania Mnyonge kulipa sh. laki 3 taslimu ili kugharamia manunuzi ya smartphone , hivyo mpango huu utawawezesha wengi kumiliki simu hizo .
Bali sisi wengine tulidhani labda serikali ingekuja na Mpango wa kuwawezesha wananchi kwenye Pembejeo au mitaji ya biashara ili waweze kujikomboa kiuchumi , lakini badala yake inataka kuwawezesha kwenye Smartphone ambazo wakishakuwa nazo haijulikani ni nani atakayewanunulia vocha ili waweze kuingia mitandaoni .
Nakulilia Tanzania .