Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,443
Kujadili kauli za nape ni kupoteza muda
Nape Nnauye, kupitia taarifa ya habari Chanel 10 anadai wote walioanzisha vyama pinzani wametoka CCM na kwamba walikuwa failures kule(watu walioshindwa kufuata taratibu ndani ya CCM, wamezoea vya kunyonga!)
Swali kwake:
Alipoenda kuanzisha CCJ, alikuwa winner?
Kama Nape kasema kweli, Ribosome kamuunga mkono kwa kusema ukweli!Nape anasema kweli, hata Slaa alikuwa ni failure kwenye CCM alishindwa kwenye kura za maoni, mnajuwa sababu zilizomwangusha kura ya maoni? kama hamjui ulizeni mpate kujuwa!
Leo nimeamini DEGEDEGE ni ugonjwa hatari sana Nape anaumwa DEGEDEGE