CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,929
Kaa yule mtoto wa Dokta Slaa na Josephine?
Kwani yule ni CCM? Je ushemsikia akitoa kauli yoyote ile?
Kaa yule mtoto wa Dokta Slaa na Josephine?
haswa wala hujakoseaOooh!!Kasau kwamba wananchi wote walikuwa ccm kwa kupenda au kulazimishwa. Na sasa machaguo yameongezeka kwa wale waliolazimishwa kwenda wanakotaka.Kama ccm ingekuwa na uwezo wa kibinadamu, ingewatapika kitambo.
nape anajaribu kulazimisha siasa ambayo haiwezi ni bora awe mwanamuziki.si alienda kwenye mazoezi ya twanga pepeta?angebaki huko huko siasa awaachie wengine asivamie tu mambo!
Nape Nnauye, kupitia taarifa ya habari Chanel 10 anadai wote walioanzisha vyama pinzani wametoka CCM na kwamba walikuwa failures kule(watu walioshindwa kufuata taratibu ndani ya CCM, wamezoea vya kunyonga!)
Swali kwake:
Alipoenda kuanzisha CCJ, alikuwa winner?
Kiufupi Nape hana agenda.
Mwambie aongelee kinachoendelea sasa hivi kuhusiana na wimbi la kujivua gamba!
Sasa mbona alishinda ubunge?Nape anasema kweli, hata Slaa alikuwa ni failure kwenye CCM alishindwa kwenye kura za maoni, mnajuwa sababu zilizomwangusha kura ya maoni? kama hamjui ulizeni mpate kujuwa!
Nape Nnauye, kupitia taarifa ya habari Chanel 10 anadai wote walioanzisha vyama pinzani wametoka CCM na kwamba walikuwa failures kule(watu walioshindwa kufuata taratibu ndani ya CCM, wamezoea vya kunyonga!)
Swali kwake:
Alipoenda kuanzisha CCJ, alikuwa winner?